• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Jinsi ya kujiunga na CHF iliyoboreshwa

Kujiunga na Bima ya Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF Iliyoboreshwa)

KUJIUNGA NA HUDUMA YA MFUKO WA AFYA YA JAMII (CHF ILIYOBORESHWA)

Hatua Muhimu za Kuzingatia ili Kujiunga Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF Iliyoboreshwa):

  • Mkuu wa kaya fika na familia yako katika sehemu iliyoandaliwa kwa ajili ya uandikishaji wa wanachama.
  • Lipia gharama ya kujiunga na CHF iliyoboreshwa, hakikisha unapatiwa stakabadhi ya malipo ya mchango wa CHF.
  • Fuata maelekezo mengine utakayopewa na Afisa Uandikishaji.

Hakikisha kila mwanakaya amepatiwa kitambulisho cha uanachama.

Kumbuka:

  • Kitambulisho chako kitaanza kutumika baada ya mwezi mmoja tangu kuandikishwa.
  • Kumbuka kwenda na kitambulisho chako pindi unapokwenda kwenye kituo cha kutolea huduma (Zahanati, Kituo cha Afya au Hospitali ya Wilaya/Mkoa).
  •  Kumbuka kuhuisha/kufufua uanachama wako miezi miwili kabla ya kuisha muda wa uanachama.
  • Uanachama huhuishwa kila mwaka (mara moja kwa mwaka) kwa kulipia gharama ya uanachama.

Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF Iliyoboreshwa) ni Nini?

Ni mpango muhimu wa hiari ulioanzishwa kwa Sheria Na. 1 ya mwaka 2001 (Sura ya 409 ya Sheria za Tanzania Toleo la 2002) wa kaya, kikundi au familia au mtu binafsi kuchangia gharama za matibabu kabla ya kuugua.

Wanachama wanapopata huduma bora ya afya kwa kipindi cha mwaka mzima.

Kaya/Familia ni Nini kwa Mujibu wa CHF Iliyoboreshwa?

Baba, mama n watoto/wategemezi ambao jumla yao ni watu sita (6).

Kundi la watu sita (6) katika taasisi kama vile shule (wanafunzi), Ushirika (wanaushirika), ama Vikundi vya ujasiria mali (SACCOS, VICOBA, n.k).

Mtu binafsi.

Faida za Mfuko wa Afya ya Jamii:

Mwanachama atanufaika na huduma zote za afya ya msingi za kinga na tiba zitolewazo katika zahanati, kituo cha afya na hospitali ya wilaya, kama vile;

Huduma ya wagonjwa wa kutwa na kulazwa kwa mujibu wa mwongozo wa Wizara ya Afya.

 Afya ya mama na mtoto.

Vipimo vya maabara.

Huduma ya upasuaji mdogo.

Mwanachama anapata huduma bora za afya kwa gharama nafuu.

Mwanachama anapata huduma bora ya afya kwa kipindi cha mwaka mzima.

Serikali inachangia kiasi sawa na kile kilichochangwa na wanachama tele kwa tele) katika wilaya husika ili kuboresha huduma za afya.

Ushiriki wa Mwanachama Katika Kuboresha Utoaji wa Huduma za Afya:

Mwanachama atashiriki katika kuboresha huduma za Afya kupitia mwakilishi wa jamii katika bodi ya Afya ya Wilaya na kamati za uendeshaji na usimamizi wa Kituo cha Afya na Zahanati.

Mwanachama atawasilisha mawazo/kero zake kwenye serikali ya kijiji, na kupelekwa kwenye kamati ya CHF ya kata na hatimaye kwenye bodi ya CHF ya wilaya ambayo itayajadili na kuyatolea maamuzi.

Pia, mwanachama ataweza kutoa maoni yake kuhusu maboresho ya CHF na huduma za Afya kupitia mkutano wa mwaka wa kijiji wa wanachama wa CHF.

Kwa maelezo zaidi wasiliana na Ofisi ya Kijiji/Mtaa iliyokaribu nawe.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Mafunzo ya BVR Awamu ya Pili yazinduliwa

    May 14, 2025
  • Msigala Aagiza kutungwa kwa Sheria Ndogo Kudhibiti chumvi

    May 09, 2025
  • Ikungi Kinara wa Miradi Bora

    May 08, 2025
  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa