• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Tekolojia ya Habari na Mawasiliano

KITENGO CHA TEHAMA 

 

  • UTANGULIZI

Kitengo cha TEHAMA ni moja ya vitengo sita (6) katika Halmashauri ya Ikungi. Kitengo hiki kina watumishi wawili ambao ni:

  • Amour Omary Eljabry

  • Eva Gaitani Myula

 Kitengo hiki kinafanya kazi ya kusimamia matumizi sahihi na salama ya vifaa vya TEHAMA na Kusimamia Mifumo yote inayotumika katika Halmashauri ili kuongeza ufanisi katika utendaji wa kazi.

UTEKELEZAJI  WA SHUGHULI MBALI MBALI

Kitengo hiki kinafanya shughuli zifuatazo:

i. Kuhakikisha mifumo yote inayotumika katika Halmashauri inafanya kazi kwa ufanisi. Mifumo hiyo ni :-

Mfumo wa kukusanyia Mapato (LGRCIS),

Mfumo wa matumizi ya fedha zote za Halmashauri (EPICOR),

Mfumo wa kuandaa bajeti ya Halmashauri (PLANREP),

Mfumo wa uhasibu na utoaji wa taarifa katika vituo vya kutolea huduma (FFARS),

Mfumo wa kutolea takwimu za Elimu Msingi na Sekondari (BEMIS),

Mfumo wa kusimamia mishahara ya watumishi na utunzaji wa taarifa za watumishi   (LAWSON),

Mfumo wa usajili wa wanafunzi wa Elimu Msingi (PREM),

Mfumo wa utunzaji taarifa za walengwa (PSSN) ,

Mfumo wa kutolea taarifa za wagonjwa (GoT- HoMIS), 

Mfumo wa kutolea taarifa za  usimamizi wa shule  (SIS)  ambao umeanza kutumika kwa ngazi ya Elimu Msingi na

Mfumo wa kutolea  vibali vya kusafiria nje ya nchi ambao unapatikana kwa kiunganishi cha  https://safari.gov.go.tz

  1. Kurekebisha miundo mbinu ya mtandao wa ndani (LAN) pale inapotokea hitilafu ya mawasiliano

  2. Kusimamia tovuti ya Halmashauri ambayo inapatikana kwa kiunganishi cha www.ikungidc.go.tz

  3. Kuhakikisha POS za kukusanyia mapato zinafanya kazi kama ilivyokusudiwa na taarifa zote za ukusanyaji zinatumwa kwenye server kuu iliyopo TAMISEMI

  4. Kutoa Elimu kwa watendaji kuhusu utumiaji wa mashine za POS

  5. Kutembelea vituo vya afya na kutatua changamoto zinazojitokeza katika mfumo wa kutolea taarifa za wagonjwa (GoT- HoMIS) na kufanya kazi zingine tunazopangiwa na Mkurugenzi.

Matangazo

  • MPYA!MPYA! Kuitwa kwenye usaili wa kazi ya Sensa na watu na Makazi July 17, 2022
  • TAARIFA MUHIMU KUTOKA OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU (NBS) KUHUSU MAANDALIZI YA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 July 29, 2022
  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWA WATANZANIA WOTE WENYE SIFA ZA KUOMBA KAZI May 25, 2022
  • View All

Habari mpya

  • KAMATI YA FEDHA NA MAENDELEO YAKAGUA MIRADI YA SWASH ZAHANATI 3 WILAYA YA IKUNGI.

    January 23, 2023
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA IKUNGI YATENGA MILIONI 187 KWA AJILI YA KUKOPESHA VIKUNDI VYA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU.

    January 24, 2023
  • MAFUNZO YA kemikali ya sumu yatolewa na SHANTA.

    January 24, 2023
  • IKUNGI YAPOKEA VISHIKWAMBI 1,496 KWA AJILI YA WALIMU NA MAAFISA ELIMU.

    January 23, 2023
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa