• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Katibu Tawala Mkoa wa Singida afanya ziara ya kukagua miradi Ikungi

Posted on: December 15th, 2025

Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida, Dkt. Fatuma Mganga, leo tarehe 15 Desemba 2025, amefanya ziara ya kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Wilaya ya Ikungi.


Kabla ya kuanza ziara hiyo, Dkt. Maganga alifanya kikao na Wakuu wa Idara na Vitengo wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, ambapo aliwataka kuhakikisha mapato ya Halmashauri yanaongezeka na kufikia malengo yaliyopangwa.


Aidha, amemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi kuhakikisha vijiji vyote 101 vinapewa POS za kukusanyia mapato ili kuziba mianya ya ukwepaji na upotevu wa mapato ya Serikali.


Katika kikao hicho, Dkt. Mganga pia alisisitiza kuwa ifikapo mwezi Machi 2026, zoezi la chanjo za mifugo liwe limekamilika katika maeneo yote ya wilaya hiyo.


Akizungumza kuhusu vyanzo vya mapato, alisema:


“Ili mapato yaongezeke tunapaswa kuwa wabunifu na kuhakikisha miradi yote tuliyonayo inafanya kazi. Stendi mpya mliyoizindua pamoja na mradi wa vibanda vilivyopo Manispaa ya Singida, hakikisheni ifikapo mwezi wa pili miradi hiyo iwe imekamilika na kuanza kufanya kazi.”

Katika ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo, Katibu Tawala huyo ametembelea miradi ya ujenzi wa shule za msingi Unyahati na Puma, ofisi ya Kijiji cha Issuna A, pamoja na Stendi ya Mabasi ya Ikungi.


Akiwa kwenye miradi ya shule za Puma na Unyahati, Dkt. Maganga aliagiza kuongezwa kwa mafundi wa ujenzi ili kuongeza kasi ya utekelezaji, na kuhakikisha miradi hiyo inakamilika ifikapo tarehe 10 Januari 2026, ikiwemo uwekaji wa madawati na shule kupata vibali vya kuanza kutumika rasmi.


Alisisitiza “Nahitaji kasi ya ujenzi iongezeke, mafundi wawe wengi. Ifikapo tarehe 10 Januari, miradi yote ya ujenzi wa shule iwe imekamilika kwa asilimia 100 na kwa ubora uliokusudiwa, ikiwemo madawati. Hakutakuwa na ongezeko lolote la fedha, hivyo simamieni miradi kwa umakini mkubwa.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Dkt. Grace Ntogwisangu Awataka Watoa Huduma Zaidi Kutumia Teknolojia Kuboresha Chanjo

    February 04, 2026
  • Mhe. Thomas Apson Awapongeza Wadau Kwa Kuunga Mkono Shule ya Watoto Wenye Mahitaji Maalum

    February 03, 2026
  • Upandaji Miti na Msaada kwa Wagonjwa Vikundi Maalum Vifanyika Ikungi Kwa Ushirikiano na UWT

    February 03, 2026
  • imu ya Menejimenti ya CMT Yakagua Miradi ya Afya, Elimu na Biashara Ikungi

    February 02, 2026
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa