• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

MAAFISA TEHAMA WA HALMASHAURI ZA MKOA WA SINGIDA WAJENGEWA UWEZO KATIKA KUSIMAMIA MIFUMO YA TEHAMA

Posted on: October 4th, 2018


Tarehe Ya Kuwekwa: October 3rd, 2018

Katika kuhakikisha Mifumo mbalimbali ya TEHAMA inayotumika katika Mamlaka za Serikali za Mitaa inatumika ipasavyo na kuendelea kuleta matokeo chanja na kuendelea kuboresha utoaji wa huduma mbalimbali kwa wananchi kwa kutumia TEHAMA, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida imeamua kufanya mafunzo ya kuwajengea uwezo Maafisa TEHAMA wote wa Mamlaka za Serikali za Mitaa za Mkoa wa Singida katika  kusimamia Mifumo na Miundombinu ya TEHAMA katika Halmashauri zao.


Katika Mafunzo haya, Maafisa TEHAMA wa Mamlaka za Serikali za Mitaa  wanajengewa uwezo katika kusimamia mifumo yote inayotumika katika Mamlaka zao pamoja na Miundombinu ya TEHAMA.


Washiriki wa Mafunzo ya kuwajengea uwezo Maafisa TEHAMA wa Halmashauri za Mkoa wa Singida wakiwa katika nyuso zenye furaha kwa kufurahia jambo wakati wakifuatilia  mada iliyokuwa ikitolewa na mwezeshaji ambaye ni Afisa TEHAMA - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Singida Bw. Baraka Mhembano.


Washiriki wakifuatilia Mafunzo kwa makini.


 Mafunzo yakiendelea.


 Sehemu ya Washiriki wa Mafunzo ya kuwajengea uwezo Maafisa TEHAMA wa Halmashauri za Mkoa wa Singida wakiwa katika nyuso zenye tabasamu kwa kufurahia jambo wakati wakifuatilia  mada.

 Mafunzo yakiendela.


 Afisa TEHAMA , Ofisi ya Mkuu wa mkoa Singida Bw. Baraka Mhembano, akiwa anawajengea uwezo washiriki katika usimamizi wa mfumo wa kielektroniki wa uendeshaji wa Hospital (GoT-HOMIS).

 Sehemu ya washiriki wa Mafunzo ya kuwajengea uwezo Maafisa TEHAMA wa Halmashauri za mkoa wa Singida.


 Afisa TEHAMA, Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida Bw. Athuman Simba akizungumza wakati wa Mafunzo ya kuwajengea uwezo Maafisa TEHAMA wa Halmashauri za Mkoa wa Singida.





Mmoja wa Washiriki wa Mafunzo ya kuwajengea uwezo Maafisa TEHAMA wa Halmashauri za Mkoa wa Singida Bi. Eva Myula ambaye ni Afisa TEHAMA Halmashauri ya Ikungi akifuatilia mafunzo kwa Vitendo.






 Washiriki wa Mafunzo ya kuwajengea uwezo Maafisa TEHAMA wa Halmashauri za Mkoa wa Singida wakiwa katika picha ya pamoja.


Aidha, Washiriki wameipongeza na kuishukuru Serikali ya Mkoa wa Singida kwa kuwezesha Mafunzo haya muhimu sana kwa Maafisa TEHAMA wa Halmashauri kwakuwa yanawawezesha kuwa na uelewa mkubwa wa Mifumo na Miundombinu ya TEHAMA na hivyo 

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa