• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Makamu wa Rais Mh. Samia Suluhu Hassan afanya ziara Wilayani Ikungi

Posted on: February 17th, 2019

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Mh. Samia Suluhu Hassan amefanya ziara leo mapema tarehe 17/02/2019 Wilayani Ikungi na kufungua miradi ya Maendeleo. Mama Samia amezindua  mradi wa maji utakaohudumia wakazi wananchi zaidi ya 2600 wa kijiji cha Ulyampiti kilichopo katika Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida.

Makamu wa Rais alitembelea zahanati ya  Mang'onyi na kutoa  agizo kwa Wizara ya Maji kuhakikisha katika mpango wa visima 20 wilayani Ikungi kimoja kichimbwe  katika kijiji cha Mang’onyi.  Pia Makamu alitembelea kituo cha Afya cha Ihanja na kujionea maboresho mbali mbali ikiwa pamoja na kufungwa mashine mpya ya upasuaji.

Akihutubia kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Ihanja Madukani Makamu wa Rais amesisitiza umuhimu wa Bima ya Afya kwa wananchi  na kuzitaka mamlaka husika kutoa elimu ya kutosha ili kila mwananchi aelewe mpango wa Serikali wa Bima kwa wote.  

Aidha Makamu wa Rais amewataka wakazi wa Ihanja kutoruhusu mimba za utotoni kwani zinawanyima fursa mabinti wao kuja kuwa viongozi na wataalam wa badae, pia aliwasihi wananchi kuacha kukeketa mabinti kwani ukeketaji una athari nyingi zikiwemo vifo wakati wa kujifungua.

Makamu wa Rais amechangia mabati 200 kuunga mkono juhudi za Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi, Mhe. Elibariki Kingu ambaye amekabidhi leo mifuko ya saruji mia sita kwa ajili ya kusaidia kuendeleza maboma ya zahati na majengo ya shule. Pia Mbunge huyo amekabidhi  chereni kumi kwa vikundi vidogo vidogo ili kuweza kujiendeleza kiuchumi na kuinua kipato chao. Aidha Makamu    amesema  kuwa Chama na Serikali ni kitu kimoja kwani wanashirikiana katika kila jambo la kuleta maendeleo kwa wananchi ambapo ilani ya uchaguzi imetekelezwa kwa kiwango kikubwa.  

Matangazo

  • MPYA! MPYA! TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWA WATANZANIA WOTE WENYE SIFA ZA KUOMBA KAZI April 19, 2023
  • MPYA!MPYA! Kuitwa kwenye usaili wa kazi ya Sensa na watu na Makazi July 17, 2022
  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWA WATANZANIA WOTE WENYE SIFA ZA KUOMBA KAZI May 25, 2022
  • TAARIFA MUHIMU KUTOKA OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU (NBS) KUHUSU MAANDALIZI YA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 July 29, 2022
  • View All

Habari mpya

  • ZIARA YA DC IKUNGI YAZAA MATUNDA:VYOO VYAZINDULIWA RASMI

    April 05, 2023
  • WAKULIMA WASHAURIWA KULIMA KWA TIJA-GURISHA MSEMO

    March 22, 2023
  • KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA MIRADI WILAYA IKUNGI-SINGIDA

    March 20, 2023
  • Shule bora yatoa mafunzo UWAWA

    February 27, 2023
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa