• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Wajasiriamali wa Ikungi wakabidhiwa vitambulisho vya biashara na Mkuu wa Wilaya

Posted on: January 9th, 2019

Wajasiriamali wenye mtaji usiozidi milioni 4 wamekabidhiwa vitambulisho vya biashara na Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya Ndg, Miraji Mtaturu mapema leo Tarehe 08/01/2019. Vitambulisho hivyo vimegawiwa kwa wajasiriamali wa Wilaya ya Ikungi ikiwa ni kutekeleza agizo la Rais John Pombe Magufuli. Aidha sherehe hizo zilihudhuriwa na wajasiriamali wadogo wadogo, watendaji wa kata,Watumishi wa Halmashauri,Watumishi wa dini, Mwakilishi toka TRA Singinda, Mkuu wa kituo cha Polisi Ikungi na Mwanasheria.

Mkuu wa Wilaya alisisitiza kuwa wafanya biashara hao wanatakiwa kuwa waaminifu na kuvitunza vitambulisho hivyo ili visipotee. "Itakuwa kitu cha ajabu kama utagawa kitambulisho chako na kumpa mtu mwingine afanyie biashara, ikibainika kuwa hujawa mwaminifu basi kitambulisho kitanyang'anywa kwa kuwa utakuwa huna sifa ya kuwa na kitambulisho hicho".Alisema Mtaturu

Naye Mkurugenzi Mtendaji Ndg, Justice L. Kijazi aliwapongeza wafanya biashara hao kwa kutunukiwa vitambulisho hivyo na kuwasihi kuwa wavitumie vitambulisho hivyo kama maelekezo ya Serikali yanayosema. Pia alisisitiza kuwa wafanya biashara wadogo wajitokeze kwa wingi kuchukua vitambulisho hivyo. "Vitambulisho hivi haviuzwi isipokuwa gharama ya Shilingi elfu ishirini (20,000) ni kuchangia gharama ya kutengeneza vitambulisho hivyo. Mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli anawajali sana wafanya biashara ndio maana ameamua kutoa vitambulisho hivyo ili mfanye kazi kwa uhuru bila kubuguziwa na mtu yeyote". Alisema Kijazi.

Nao wafanyabiashara walisema kuwa wamefurahishwa sana na hatua ya Serikali kwa kuwaona kwa jicho la karibu wafanyabiashara wenye mitaji midogo na kuipongeza sana Serikali ya Awamu ya tano


Pichani washiriki mbali mbali waliohudhuria Siku hiyo rasmi ya kugawiwa vitambulisho vya wafanyabiashara wadogo

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa