• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Waliopata mafunzo ya UVIKO 19 watakiwa kupeleka elimu kwa jamii

Posted on: September 25th, 2021

Kwa hisani ya mwandishi wa ofisi ya mkuu wa Mkoa

Posted On: September 24th, 2021

Mafunzo ya wataalamu wa afya  na viongozi mbalimbali wametakiwa kusambaza elimu ya chanjo ya UVIKO 19 katika vituo mbalimbali vinavyotoa chanjo  na kwenye mikusanyiko ya watu ili kusaidia kupunguza athari  za ugonjwa huo.

Akizungumza leo wakati wa kufunga mafunzo ya Siku mbili yaliyofanyika mkoani Singida na kuwahusisha Waganga wakuu wa Wilaya,  Maafisa habari  na baadhi ya wawakilishi kutoka wizara mbalimbali, Mganga Mkuu wa Mkoa, Victorin Ludovick amesema  kumalizika kwa mafunzo hayo ndio mwanzo wa kutoa elimu kwa watoa chanjo na wananchi kwa ujumla.

Amesema elimu waliyopata wakufunzi hao wataenda kuwafundisha wengine kuanzia ngazi ya Halmashauri mpaka Vijijini

Mganga Mkuu Mkoa wa Singida, Victorin Ludovick akisisitiza jambo wakati wa mafunzo. (Katika) Mwakilishi wa Ofisi ya Rais -  TAMISEMI, Dinah Atinda na (kulia) Mshauri wa Ugavi kutoka shirika la JSI wanaoshirikiana na wizara ya Afya kupitia idara ya chanjo.  

Dkt.Ludovick amesema elimu  waliyopata imetoa muongozo wa  utoaji wa elimu  sehemu mbalimbali ikiwemo minadani na kwenye masoko na sehemu zenye watu wengi.

Mafunzo yamefanya zoezi la utoaji wa elimu ya chanjo  kuwa jepesi kwakuwa wataalamu wengi walishapata uzoefu mkubwa kwenye mambo ya utoaji wa chanzo. Alisema Mganga Mkuu wa Serikali.

"Mazoezi kama haya tushayafanya sana kwa hiyo naamini tunaenda kutekeleza tulichojifunza na nategemea kuona matokeo makubwa" alisistiza Dkt. Ludovick.

Pamoja na mafunzo hayo Dkt Victorine amesema mafunzo hayo yatumike  kubuni njia mbadala ya kuwafikia wananchi ili kuwaelimisha na kuhamasisha chanjo kwa kila mtu.

Amebainisha kwamba njia nyingine ni kuwatumia  viongozi wa dini ili wafikishe ujumbe kwa waumini wao juu ya umujimu wa kupata chanjo na kuondoa imani potofu kwa jamii dhidi ya chanjo ya UVIKO 19

Mwakilishi wa OR -  TAMISEMI, Dinah Atinda  akisisitiza jambo wakati wa mafunzo

Awali Mwakilishi wa Ofisi ya Rais -  TAMISEMI, Dinah Atinda  amesisitiza kuwa mafunzo hayo yanalenga kuwajengea uwezo watoa huduma za afya na pia viongozi na watu maarufu katika jamii husika ili waweze kuelimisha na kuhamasisha wananchi juu ya UVIKO-19 .

Amesema Mpango Jamii Shirikishi na Harakishi wa Chanjo dhidi ya UVIKO-19 umeandaliwa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto  kwa kushirikiana na OR - TAMISEMI  na unaendelea kutekelezwa nchi nzima.

Hata hivyo amebainisha lengo la mafunzo hayo kuwa ni  kuwajengea uwezo watoa huduma za afya , viongozi na watu maarufu katika jamii husika ili  kuelimisha na kuhamasisha wananchi kuendelea kuchukua tahadhari ya ugonjwa wa UVIKO-19 na kupata chanjo dhidi ya ugonjwa huu.

Mafunzo yakiendelea, kulia ni Mganga Mkuu wa Mkoa Singida Victorin Ludovick

Afisa Mpango wa Chanjo kutoka Wizara ya Afya - TAMISEMI, Mpango wa Taifa wa chanjo akizungumza wakati wa mafunzo hayo. 

 Viongozi mbalimbali wa Serikali na Maafisa Watendaji (walio kaa) wakiwa katika picha ya pamoja na timu ya uendeshaji na usimamizi wa huduma za afya mkoa wa Singida muda mfupi baada ya kumaliza mafunzo kuhusu Mpango Shirikishi na Harakishi wa Chanjo ya UVIKO 19 kwa wakufunzi na wadau wa afya mkoani Singida. Septemba 23 - 24/2021 
















Video

Baraza la hoja Mkalama 2017

Video zaidi






Viungio vya Haraka

  • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
  • Mwongozo wa Matumizi ya TEHAMA Serikalini
  • Fomu ya Maombi ya Kusafiri Nje ya Nchi
  • MPANGO WA MANUNUZI MKOA WA SINGIDA
  • KUONA AJIRA ZA WAALIMU WA SAYANSI NA MAFUNDI SANIFU





Tovuti Muhimu

  • UTUMISHI
  • TAMISEMI
  • IKULU
  • WIZARA YA ELIMU
  • NECTA
  • WIZARA YA AFYA

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

freevisitorcounters's Website





Ramani ya Mkoa

Wasiliana Nasi

Other Contacts 

   












    • Sera ya Usiri
    •  
    • Kanusho
    •  
    • MMM
    •  
    • Ramani
    •  
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Singida. Haki Zote Zimehifadhiwa.





Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa