Posted on: November 28th, 2023
Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ndg Richard Rwehumbiza amesema Halmashauri kupitia Baraza la Madiwani imetenga Milioni 240 kwa ajili ya kukamilisha Vituo vya Afya ambavyo moja wapo...
Posted on: November 22nd, 2023
Katika ziara ya Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe. Thomas Apson, juzi tarehe 22 Novemba 2023, kata ya Misughaa na kata ya Kikio amewataka wananchi kutunza misitu ili kuingiza kipato kupitia hewa ya ukaa na...
Posted on: November 20th, 2023
Bohari ya Dawa kanda ya kati Dodoma (MSD) wakabidhi majenereta mawili kwa ajili ya Hospitali ya Wilaya ya Ikungi pamoja na Kitanda cha upasuaji kimoja ambapo Jenereta moja litatumika katika kitu...