• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha

Mifugo na Uvuvi



   UTANGULIZI

Idara ya Mifugo na Uvuvi ni moja kati ya Idara 13 katika Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi.

Shughuli za idara ni pamoja na; kutoa huduma za  Afya za mifugo, shughuli hii ina sehemu zifuatazo; Kinga, matibabu, udhibiti wa usafirishaji wa mifugo. Ushauri na mafunzo, Uzalishaji wa mifugo, Usalama wa mazao ya chakula yatokanayo na mifugo, Biashara ya mifugo, kusimamia uvuvi na ufugaji wa viumbe majini.

Lengo la shughuli hizi ni kwaajili ya kuboresha uzalishaji wa mifugo na kuinua mchango wa sekta ya mifugo na uvuvi kwenye pato la Taifa.

Msukumo ni kuongeza uzalishaji na ubora kuliko wingi wa mifugo kwa eneo. Kufanya ufugaji kuwa wa kibiashara, unaozalisha zaidi, endelevu, unaoongeza ajira na kulinda mazingira. Kuhamasisha, kulinda na  kusimamia shughuli za ufugaji na uvuvi wa samaki, kusimamia biashara ya samaki kwa nia ya kuongeza lishe kwa jamii na mapato ya taifa.

   WATAALAM

Idara inatakiwa kuwa na wataalam kwa ngazi ya Wilaya na ngazi za chini ( Kata na Vijiji) kama ifuatavyo ;

Ngazi ya Wilaya

Mtaalam wa viumbe vya majini (Uvuvi)

Mtaalam wa ugani

Mtaalam wa nyama na ngozi

Mtaalam wa Nyanda za malisho

Mtaalam wa wanyama wadodo

Mtaalam wa Utambuzi, usajili na ufuatiliaji wa mifugo

Mtaalam wa sekta ya Maziwa

Daktari wa mifugo.

Ngazi za chini

Kila kata inatakiwa kuwa na mtaalam moja mwenye stashahada

Kila kijiji kinatakiwa kuwa na mtaalam moja mwenye astashahada.

MIFUGO NA MIUNDOMBINU

Mifugo.

Eneo la Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi ni kubwa linafaa kwa kufuga mifugo ifuatayo kwa madhumuni mbalimbali;

Ng’ombe, mbuzi, kondoo, punda, nguruwe, kuku, bata, sungura kwa idadi mbalimbali.

Kwa sasa aina na idadi ya mifugo iliyopo ni kama ifuatavyo;

Aina

Ng’ombe

Mbuzi

Kondoo

Nguruwe

Kuku

Punda

Mbwa

Paka

Idadi
554,800
244,400
145,012
802
395,200
4,201
17,205
3,255

Lengo la kufuga mifugo hii ni pamoja na Chakula, biashara (chanzo cha mapato) na wanyamakazi. Pia kuna mifugo rafiki kama mbwa na paka.

Miundombinu na maeneo ya malisho.     

Maeneo ya malisho yaliyopo ni yale yaliyopo kwenye maeneo yasiyo na matumizi mengine, yanaweza kuvamiwa wakati wowote. Inashauriwa maeneo yaainishwe, yatengwe na kupimwa kwa ustawi wa sekta ya mifugo.



Aina
Majosho
Minanda (maeneo tu)
Vituo vya mifugo
Maduka ya pembejeo
Masoko ya kuku
Vituo vya utotoleshaji kuku
Idadi

35


4


4


8


3



2


  • UVUVI

Kutokana na uhaba wa vyanzo vya maji kama vile mito,maziwa na mabwawa pamoja na nvua chache katika halmashauri kazi za uvuvi zimekuwa kwa kiwango kidogo hivyo kuchangia kipato kidogo katika uchumi wa halmashauri, maeneo muhimu ya uzalishaji wa samaki ni ziwa Wembere lililopo kata za Mgungira na Iyumbu,ziwa Kimbwi lililopo kata Mungaa na Makiungu ,bwawa  la Itigi lililopo katika kata ya  Irisya na mabwawa ya watu binafsi katika kata za Ikungi na Ihanja .

Matangazo

  • MPYA!MPYA! Kuitwa kwenye usaili wa kazi ya Sensa na watu na Makazi July 17, 2022
  • TAARIFA MUHIMU KUTOKA OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU (NBS) KUHUSU MAANDALIZI YA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 July 29, 2022
  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWA WATANZANIA WOTE WENYE SIFA ZA KUOMBA KAZI May 25, 2022
  • View All

Habari mpya

  • KAMATI YA FEDHA NA MAENDELEO YAKAGUA MIRADI YA SWASH ZAHANATI 3 WILAYA YA IKUNGI.

    January 23, 2023
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA IKUNGI YATENGA MILIONI 187 KWA AJILI YA KUKOPESHA VIKUNDI VYA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU.

    January 24, 2023
  • MAFUNZO YA kemikali ya sumu yatolewa na SHANTA.

    January 24, 2023
  • IKUNGI YAPOKEA VISHIKWAMBI 1,496 KWA AJILI YA WALIMU NA MAAFISA ELIMU.

    January 23, 2023
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa