• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Kilio cha Watumishi Ikungi Chapata Ufumbuzi

Posted on: October 1st, 2025

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ndugu. Kastori Msigala aagiza kulipwa kwa stahiki za watumishi kadri fedha zinapokuja ili kupunguza changamoto hiyo kuboresha ufanisi katika utendaji kazi.

Hayo yamesemwa hii leo Tarehe 01 Octoba, 2025 katika kata ya Dung'unyi na Siuyu alipokuwa akitembelea miradi ya maendeleo na kuzungumza na watumishi wa kata hizo


Mkurugenzi Mtendaji amesema kuwa kuna haja ya kupitia na kubaini stahiki za watumishi mbalimbali ili kujua changamoto zao na kuzitatua kwa wakati lengo ni kuongeza ufanisi kazini.

Baadhi ya watumishi wameeleza changamoto zao ikiwa ni pamoja na kuchelewa kwa fedha za uhamisho na likizo, kupanda madaraja na changamoto za mfumo wa PEPMIS kwani wengi wao wanaishi katika mazingira yasiyokuwa na mtandao wakutosha ili kujaza na kutuma kazi zao kwa wakati.

Sambamba na hilo Mkurugenzi Msigala ametembelea ujenzi wa madarasa matatu na matundu sita ya vyoo shule ya msingi Samaka kwa gharama ya milioni 79.2, ukamilishaji wa matundu manne ya vyoo zahanati ya Samaka kwa gharama ya milioni mbili, ujenziwa matundu nane ya vyoo shule ya msingi Damankiya mradi huo unagharimu milioni 13.6 na kuagiza kukamilika kwa miradi hiyo mapema ili kutoa huduma kwa wananchi.

Hata hivyo Mkurugenzi ameagiza kupelekwa milioni 23 kukamilisha madarasa matatu shule ya msingi Kipumbwiko, milioni 15 ukamilishaji wa zahanati ya Samaka, milioni 13 ukamilishaji vyoo damankia shule ya msingi, milioni 10 ujenzi wa matundu 14 ya vyoo shule ya sekondari Siuyu, milioni 10 shule ya msingi unyakanya kudhibiti upungufu wa madawati, pamoja na milioni 10 ujenzi wa vyoo shule ya msingi Nali

“Changamoto ya upungufu wa nyumba za watumishi tunaweka kwenye bajeti ijayo ikiwa ni pamoja na kuongeza watumishi mbalimbali kadri serikali ya Jamhri ya Muungano wa Tanzania itakavyotuletea watumishi wapya” amezungumza Msigala

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Kilio cha Watumishi Ikungi Chapata Ufumbuzi

    October 01, 2025
  • Milioni 100 Zatolewa Mkopo wa Halmashauri, Vikundi 11 Kunufaika

    September 30, 2025
  • Msongamano wa Wanafunzi Darasani Sasa Basi

    September 25, 2025
  • Msongamano wa Wanafunzi Darasani Sasa Basi

    September 25, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa