• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Bima ya Afya kwa Wote, Neema Ikungi

Posted on: January 9th, 2026

Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi yatoa mafunzo ya mfumo wa Bima ya Afya kwa Wote ambao unamhakikishia kila mwananchi kupata huduma bora za afya bila kikwazo cha gharama anapohitaji huduma hizo.

Mafunzo hayo yametolewa tarehe 09 Januari, 2025 katika ukumbi wa Halmashauri ambapo waganga wafawidhi, watendaji wa kata na Vijiji pamoja na wataalamu mbalimbali wa afya wameshiriki ili kufahamu faidi za mfumo huo kwa manufaa ya wananchi wote.


Mgeni Rasmi katika mafunzo hayo Katibu Tawala wilaya ya Ikungi Mhe. Rashid M. Rashid akimuwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe. Thomas Apson amesema kuwa Mpango huu ni utekelezaji wa sera ya Serikali ya awamu ya sita inayolenga kuhakikisha wananchi wote wanapata huduma bora za afya kwa wakati kwa gharama nafuu na kwa usawa bila kujali hali zao za kiuchumi.



Hata hivyo, Sheria hii inatarajia kuanza kutekelezwa kwa majaribio kwa baadhi ya makundi maalum yasiyokuwa na uwezo yakiwemo wazee wenye miaka 60 na kuendelea, watoto chini ya miaka 5, wanawake wajawazito na watu wenye ulemavu, kuanzia januari 2026 na hasa wale wanaopata uwezeshwaji kutoka TASAF


"Hii ni katika kutekeleza ahadi ya Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyoitoa ya kuanzisha Bima ya afya kwa wote ndani ya siku 100" amezungumza Rashid

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Bima ya Afya kwa Wote, Neema Ikungi

    January 09, 2026
  • Maagizo Yatolewa Ukamilishaji wa Miradi

    January 07, 2026
  • Katibu Tawala Mkoa wa Singida afanya ziara ya kukagua miradi Ikungi

    December 15, 2025
  • Ikungi Yapatiwa Trekta 15 Msimu wa Kilimo

    December 02, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa