• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Msongamano wa Wanafunzi Darasani Sasa Basi

Posted on: September 25th, 2025

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yaendelea kuchukua hatua kupunguza msongamano wa wanafunzi katika shule za msingi kupitia ujenzi wa miradi ya BOOST Wilaya ya Ikungi.

Akifanya ziara hii leo Tarehe 25 Septemba, 2025 katika Wilaya ya Ikungi Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida, Dkt. Fatuma Mganga, akiambatana na timu ya ufuatiliaji pamoja na timu ya Menejimenti (CMT) Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, amepongeza Ikungi kupata miradi ya BOOST, usimamizi wa miradi na uagizaji wa vifaa vya ujenzi kwa bei nafuu kwa kuzingatia ubora hivyo kuwataka Wilaya za jirani kuiga taratibu hizo ili miradi iweze kukamilika haraka na kwa ubora Zaidi.

Dkt. Fatuma Mganga, ametembelea mradi huo wa ujenzi wa shule ya msingi mpya yenye mikondo miwili, Jengo la utawala pamoja na nyumba ya watumishi (2 in 1) Kijiji Cha Puma inayogharimu millioni 545.4 kupitia bajeti ya mwaka 2024/2025.


Akisoma taarifa ya ujenzi huo Mwalimu Wenseslaus Masire amesema kuwa baadhi ya faida za mradi huo ni pamoja na kupunguza changamoto ya msongamano uliokwepo katika shule ya msingi Puma yenye jumla ya wanafunzi 1315, walimu kuwa na wigo mpana kuwafikia wanafunzi wote pamoja na fursa ya wanafunzi kujifunza kwenye mazingira yakuvutia.

Ziara hiyo pia imetembelea na kukagua mradi wa uchimbaji wa kisima cha umwagiliaji chenye uwezo wa kumwagilia hadi ekari 40 kata ya Unyahati, pamoja na mradi wa ujenzi wa kituo kipya Cha afya Kata ya Migughaa unaogharimu milioni 250 na miradi yote ipo hatua za awali.

Katika ukaguzi huo, timu imependekeza kuongezwa kasi ya utekelezaji wa mradi ili ukamilike kwa wakati, sambamba na kuhakikisha ubora unaozingatia mahitaji muhimu yakiwemo vyoo rafiki kwa watoto wa kike, bustani na upandaji miti, miundombinu bora ya kunawia mikono, viwanja vya michezo na mifumo ya kuzimamoto. Pia wamependekeza kuandaliwa mazingira rafiki yatakayozuia usumbufu wa sauti za vyombo vya usafiri ili kudumisha utulivu wa wanafunzi darasani.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Msongamano wa Wanafunzi Darasani Sasa Basi

    September 25, 2025
  • Msongamano wa Wanafunzi Darasani Sasa Basi

    September 25, 2025
  • Wanyabiashara Kulipa Kodi Makiungu Bado Fumbo

    September 24, 2025
  • Sipo Tayari Kufumbia Macho Uzembe wa Wachache DED Ikungi

    September 19, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa