• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Afisa Tehama Afungua Mafunzo ya MTAKUWWA

Posted on: September 14th, 2023

Afisa Tehama Bi- Eva Myula akimuwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ndg Justice Kijazi aitaka kamati ya mpango wa taifa wa  Kupinga ukatili dhidi ya wanawake na watoto MTAKUWWA kata ya Dung'unyi kuzingatia wanayofundishwa ili kwenda kuokoa jamii  inayopitia matatizo ya Ukatili mbalimbali.Bi-Myula amesema kuwa huo ni mpango kazi wa Taifa wa kutokomeza ukatili nchini dhidi ya wanawake na watoto hivyo baada ya mafuzo hayo anategemea kuona visa vingi dhidi ya ukatili vikiripotiwa na kufanyiwa kazi kupitia vyombo vyetu vya Afya na Sheria.Afisa Tehama Ameyasema hayo alipokuwa akifungua mafunzo ya Siku mbili ya Tarehe 14 na 15 Septemba 2023 katika Ukumbi wa sekondari ya Unyahati ambapo alisisitiza usiri katika utekelezaji wa Mpango huo kwani matukio mengi ya ukatili hulenga kuharibu saikolojia za watendwa hivyo mhusika anaporipoti anategemea kuona yupo salama kwa kila namna.Aidha kwa upande wake Bi-Mariam Mwandikile amesema kuwa mpango huo umeanzishwa mwaka 2017/2018 na kuanza utekelezaji wake mwaka 2021/2022 ambapo wanalenga kuzifikia kata 10 katika Wilaya ya Ikungi ambazo ni Puma,Ihanja,Kituntu,Makiungu,Mungaa,Lighwa,Sepuka,Mtunduru,Issuna na Dung'unyi."Kila tunapotoa mafunzo huwa tunaandaa mpango kazi wa jinsi ya kupunguza matukio ya ukatili na hatimaye kuyamaliza kabisa katika Wilaya ya Ikungi"Alisema Afisa Maendeleo ya Jamii Ikungi Mwandikile Mafunzo hayo ya siku mbili yanawezeshwa na Mdau wa Maendeleo Social Action Trust Fund SATF ambao ni wawezeshaji mahususi wa kamati ya MTAKUWWA Wilayani Hapa ambapo makao makuu yake ni Dar es Salaam wakishirikiana na OVCT ambayo makao makuu yake ni Puma.Shirika hilo linawezesha watoto wanaoishi katika mazingira magumu na kaya masikini kiuchumi ili watoto hao waweze kufikia ndoto zao.Mwisho Afisa Maendeleo Mwandikile  ameongeza na kusema kuwa kuna madhara mbalimbali yatajitokeza ikiwa tutaruhusu ukatili kuendelea,na madhara hayo ni pamoja na kuongezeka kwa vifo,magonjwa,athari za kisaikolojia,umasikini,migogoro na kadhalika hivyo hatuna budi kutokomeza ukatili Ikungi.MWISHOAfisa Habari Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi14/09/2023

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa