• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

BARAZA LA MADIWANI IKUNGI-SAINGIDA LAPITISHA BAJETI ZAIDI YA BILIONI 39.2

Posted on: February 17th, 2023

Baraza la Madiwani Wilaya ya Ikungi lapitisha Bajeti ya  Bilioni 39,025,760,000 kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024,na TARURA ni Bilioni 4,472,543,784.47 pamoja na RUWASA ni Bilioni 2,312,872,728.61...


Awali Bajeti hiyo imepitiwa na kujadiliwa (CMT) timu ya menejimenti halmashauri,kamati ya Fedha pamoja na kamati ya ushauri Wilaya ili kujiridhisha na rasimu ya mpango wa Bajeti  ya Mwaka wa Fedha 2023/2024...


Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe Peter Serukamba alikua mgeni rasmi katika Baraza hilo la Madiwani ambalo lilifanyika tarehe 16 Februari,2023 katika ukumbi wa halmashauri huku akisisitiza Madiwani kufatilia miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali ili ikamilike wa wakati na kwa ubora unaohitajika."naomba muwe mabalozi wazuri kwa wananchi wenu kusemea mazuri yanayofayika na serikali ya Mama yetu Dkt Samia Suluhu Hassan"alisema Mkuu wa Mkoa wa Singida.


Kwa upande wao Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Ikungi

Ndg Justice Kijazi pamoja na Mwenyeki wa halmashauri ya wilaya ya Ikungi Mhe Ally J.Mwanga wameahidi kusimamia miradi kadri Bajeti ilivyopangwa kuhakikisha maendeleo yanakua kwa Kasi wilayani Ikungi.


Aidha Mkuu wa Wilaya mpya Wilaya ya Ikungi Mhe Thomas Apson amesema anatarajia kuwa na ziara ya kukagua miradi mbalimbali aliyokabidhiwa na Mhe Jerry Muro Mkuu wa Wilaya Mstaafu ili kuiendeleza na kuanzisha mipya kadri Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2023/2024 itakavyoruhusu.


MWISHO


AFISA HABARI

HALMASHAURI WILAYA IKUNGI

TAREHE 16, FEBRUARI 2023Baraza la Madiwani Wilaya ya Ikungi lapitisha Bajeti ya  Bilioni 39,025,760,000 kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024,na TARURA ni Bilioni 4,472,543,784.47 pamoja na RUWASA ni Bilioni 2,312,872,728.61...

Awali Bajeti hiyo imepitiwa na kujadiliwa (CMT) timu ya menejimenti halmashauri,kamati ya Fedha pamoja na kamati ya ushauri Wilaya ili kujiridhisha na rasimu ya mpango wa Bajeti  ya Mwaka wa Fedha 2023/2024...

Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe Peter Serukamba alikua mgeni rasmi katika Baraza hilo la Madiwani ambalo lilifanyika tarehe 16 Februari,2023 katika ukumbi wa halmashauri huku akisisitiza Madiwani kufatilia miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali ili ikamilike wa wakati na kwa ubora unaohitajika."naomba muwe mabalozi wazuri kwa wananchi wenu kusemea mazuri yanayofayika na serikali ya Mama yetu Dkt Samia Suluhu Hassan"alisema Mkuu wa Mkoa wa Singida.

Kwa upande wao Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Ikungi
Ndg Justice Kijazi pamoja na Mwenyeki wa halmashauri ya wilaya ya Ikungi Mhe Ally J.Mwanga wameahidi kusimamia miradi kadri Bajeti ilivyopangwa kuhakikisha maendeleo yanakua kwa Kasi wilayani Ikungi.

Aidha Mkuu wa Wilaya mpya Wilaya ya Ikungi Mhe Thomas Apson amesema anatarajia kuwa na ziara ya kukagua miradi mbalimbali aliyokabidhiwa na Mhe Jerry Muro Mkuu wa Wilaya Mstaafu ili kuiendeleza na kuanzisha mipya kadri Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2023/2024 itakavyoruhusu.

MWISHO

AFISA HABARI
HALMASHAURI WILAYA IKUNGI
TAREHE 16, FEBRUARI 2023

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa