• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Baraza Lapokea Mwekezaji wa Hewa ya Ukaa

Posted on: February 6th, 2025

Baraza la madiwani Halmshauri ya Wilaya ya Ikungi laridhia kuipokea kampuni ya SOLDECOM AGRO L.T.D kampuni zawa ya kitanzania inayojihusisha na shughuli

mbalimbali za kibiashara ikiwemo biashara ya hewa ya ukaa hapa Tanzania na nchi

nyingine pia.


Akizungumza katika baraza hilo hii leo tarehe 06 Februari, 2025 Mwenyekiti wq Halmshauri Mhe. Ally J. Mwanga amesema kuwa Ikungi ilipata nafasi ya mafunzo ya uzalishaji ya hewa ya ukaa kupitia Halmshauri ya Wilaya ya Tanganyika kutokana na uwepo wa misitu katika Wilaya ya Ikungi sawa na Tanganyika na inauwezo wakuzalisha hewa hiyo ili kiwe chanzo cha mapato.


"Hivyo tumeridhia kwa moyo wote kupata wawekezaji hawa wa SOLDECOM AGRO LTD ili hewa ya ukaa iweze kuzalishwa katika Wilaya ya Ikungi hususani msitu wa Minyughe na Baadae wakiridhia msitu wa Mlilii" amesema mwenyekiti wa Halmshauri Mhe Ally J.Mwanga


Akiwasilisha taarifa katika baraza hilo mratibu wa hewa ya ukaa Bwana Barakael Solomon amesema kuwa Kupitia mradi wa kuhifadhi msitu wa Minyughe tutaweza kupunguza madhara yatokanayo

na mabadiliko ya hali ya hewa ambayo yanatokana na ongezeko la joto duniani.


Mratibu huyo ameongeza na kusema kuwa tunakwenda kupanda miti palipokatwa miti hasa maeneo ya pembezoni

mwa msitu pia kuulinda msitu usivamiwe na kuharibiwa na watu ili

uweze kujizalisha upya.


Kampuni hii imesajiliwa kisheria kupitia BRELA na pia imeshasajiliwa na

taasisi ya kudhibiti na kuratibu shughuli za biashara ya hewa ya ukaa yenye makao yake

makuu mkoani Morogoro yaani National Carbon Monitoring Centre (NCMC) ambayo ndio inayotoa mwongozo wa namna biashara ya hewa ya ukaa inavyofanyika nchini.


Hata hivyo baraza limejadili taarifa za mapato na matumizi na kuhimiza juu ya ukusanyanyi wa mapato kwa kubuni vyanzo vipya vya mapato kwani mapato ya Halmshauri ndio chanzo cha maendeleo ya wananchi Wilayani hapa

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Msigala Aagiza kutungwa kwa Sheria Ndogo Kudhibiti chumvi

    May 09, 2025
  • Ikungi Kinara wa Miradi Bora

    May 08, 2025
  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa