• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

DED Msigala Atoa Somo la Matumizi Sahihi ya Fedha za Serikali

Posted on: May 28th, 2025

Iyumbu, 28 Februari 2025 — Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Bw. Kastori Msigala, amewataka wataalamu wa ujenzi kuhakikisha matumizi sahihi ya fedha za serikali kwa kufuata taratibu na viwango vya kitaalamu kabla ya kuanza ujenzi wa miradi ya maendeleo.

Bw. Msigala alitoa wito huo leo wakati wa ziara yake ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo katika Kata ya Iyumbu, akiwa ameambatana na wataalamu mbalimbali kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Akiwa katika ziara hiyo, alitembelea Kituo cha Afya Iyumbu, Shule ya Sekondari Kingu, Ofisi ya Kata ya Iyumbu, pamoja na kufanya ukaguzi wa kushtukiza katika baadhi ya maduka ya eneo hilo.


Kituo cha Afya Iyumbu kimetumia takribani shilingi milioni 500 na kinahudumia zaidi ya wananchi 32,650. Hata hivyo, Bw. Msigala alibaini baadhi ya majengo kupasuka baadhi ya Kuta kutokana na hali ya udongo wa mbuga.

Alisisitiza kuwa ni lazima wahandisi wa Halmashauri wafanye uchunguzi wa udongo (soil test) na uchunguzi wa vifaa vya ujenzi (material test) kabla ya kuanza ujenzi wowote wa majengo ya serikali ili kuhakikisha yanajengwa kwa ubora na kudumu kwa muda mrefu.

“Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Daktari Samia Suluhu Hassan, ameendelea kutoa fedha nyingi kwa ajili ya miradi ya maendeleo. Ni jukumu letu kuhakikisha fedha hizi zinatumika kwa ufanisi na kuwafikia walengwa,” alisisitiza Bw. Msigala.


Katika ukaguzi wa maduka, Bw. Msigala alibaini kuwa baadhi ya wafanyabiashara wanaendesha shughuli zao bila kuwa na leseni. Aliagiza Afisa Biashara wa wilaya kuhakikisha anafanya ufuatiliaji wa wafanyabiashara wote wenye sifa ya kuwa na leseni, ili kuhakikisha wanapata na kulipa leseni zao kwa mujibu wa sheria.

“Ili maendeleo ya kweli yaweze kufikiwa, ni lazima mapato ya ndani yakusanywe kikamilifu. Mapato haya ndiyo yanayochangia kuboresha huduma mbalimbali za kijamii na kiuchumi,” aliongeza.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Wachimbaji Wadogo Watakiwa Kuijua Sheria ya Madini na Kanuni Zake

    June 22, 2025
  • Wajasiriamali Kupata Mikopo Ikungi

    June 20, 2025
  • Watendaji wa Vijiji Wanaoshindwa Kutimiza Wajibu Wao Waonywa

    June 18, 2025
  • Hoja 19 Kufungwa Ifikapo Tarehe 19 Juni Mwaka Huu

    June 17, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa