• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Ikungi Yapokea Gari Moja Jipya kwa Ajili ya Huduma za Afya

Posted on: December 13th, 2023

Wilaya ya Ikungi yapokea Gari moja kati ya magari matatu yanayotarajiwa kuletwa katika Wilaya ya Ikungi ambayo yatatumika katika Divisheni ya Afya kumuwezesha Mganga Mkuu wa Wilaya na watumishi wenzake kuwafikia wananchi na watumishi wa Afya kwa urahisi tofauti na mwanzo.Akizungumza katika Hafla fupi ya makabidhiano ya Magari hayo Waziri wa wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Mhe Mohamed Mchengerwa Mkoani Singida viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Singida amesema Magari hayo yakatumike kwa shughuli mahususi za sekta ya Afya."Waganga wakuu nendeni mkafikie vituo vya Afya vyote na zahanati vijijini kusikiliza kero zao na kutatua changamoto zao ili kutoa huduma bora kwa wananchi." Amesema Mchengerwa.Mganga mkuu Wilaya ya Ikungi Dkt Dorisila Mlenga kwa  upande wake amesema ameweka mikakati mingi na yupo tayari kuwafikia watumishi wote Hospitali ya Wilaya vituo vya afya na zahanati zote kwa wakati kuhakikisha huduma bora zinatolewa kwa wananchi."Kufanya kazi kwa bidii ndio namna nzuri ya kusema asante kwa Mama yetu kipenzi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tazania  ambaye ameamua kutatua changamoto ya usafiri kwa Wilaya yetu". Amezungumza Dkt DorisillaSambamba na hilo amesema atahakikisha kwa kushirikiana na Halmashauri kulitunza gari hilo ili liweze kudumu zaidi na kutatua kero nyingi zaidi za wananchi kwani hata hivyo Halmashauri ipo katika kipundi cha umaliziaji wa vituo vya Afya na zahanati kupitia mapato ya ndani hivyo ni rahisi kusimamia umaliziaji huo kwa karibu.Mara baada ya Hafla hiyo ya makabidhiano Mhe Waziri alitembelea Barabara ya Kiwango cha Lami Wilaya ya Ikungi na Shule mpya ya Msingi Mtaturu iliyopo Ikungi na kuridhishwa na Miradi hiyo."Kuna Wilaya zingine wameomba kuongezwa fedha za ujenzi ila Ikungi imemaliza ujenzi ndani ya Bajeti jambo ambali sio lakawaida mnahitaji pongezi kubwa na Wilaya zingine wajifunze kutoka kwenu"Alizungumza Waziri.MWISHOImetolewa na,Afisa HabariHalmashauri (W) ya Ikungi13/12/2023

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa