• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Maafisa Biashara Wakutane na Wafanya Biashara Kujadili Changamoto Zao

Posted on: May 24th, 2024

Halmashauri ya wilaya ya ikungi leo tarehe 24 mei 2024,imefanya kikao cha baraza la wafanyabiashara wa wilaya ya ikungi , Maafisa biashara ,TRA,NMB pamoja na wageni kutoka Baraza la Taifa biashara wakiambatana na mwakilishi wa TNBC .Katika Baraza hilo mgeni rasmi Mhe Thomas Apson mkuu wa Wilaya ya Ikungi amesema kuwa ili kuhakikisha biashara zinaenda vizuri lazima wafanya biashara na maafisa biashara wakutane au wakae pamoja ili kujadili changamoto zao na kujenga urafiki na watu wa TRA lengo uchumi wa nchi kupanda zaidi wanapofanya vizuri.Mwakilishi kutoka baraza la Taifa biashara Bi Sara ameongeza kwa kusema mabaraza haya ya wafanyabiashara na maafisa biashara pamoja TRA na mabanki ni muhimu sana kwani yanafuatiliwa mpaka ngazi za juu na Mhe Raisi Mama Samia Suluhu Hassani mwezi wa sita atafanya baraza la Taifa kuhusu wafanyabiashara na maafisa biashara wa nchi nzima .Mwenyekiti wa wafanya biashara ndg Kurwa nae ameomba mabanki wapunguze riba kwa wafanya biashara kutoka asilimia 20% au 24% mpaka 5% ili kumuendeleza zaidi mfanya biashara na TRA pia wampe nafasi mfanyabiashara kuangalia biashara yake kabla ya kudai leseni kwa yule anayeanza biashara .Pia Ndg Clement mfanya biashara ameomba fomu za kuombea mkopo zipunguze mlolongo wa taarifa haswa kwa wenyeviti wa vitongoji kwani wanadhalilika na kuwashauri maafisa biashara kutoa elimu maramara kwa wafanyabiashara ili wafanya biashara wasiwe wanakimbia wakiwaona maafisa biashara kwenye biashara zao Nae Afisa Biashara wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Bi Diana amesema kuwa wafanyabiashara wanapoitwa kwenye mikutano wahakikishe wanaudhulia kwani kwenye vikao hivyo kuna elimu yenye faida kwao kuhusu leseni zaidi ya kufanyia biashara tu,pia ameongeza kwa kusema wafanya biashara wawe na upendo ,kusaidiana wao kwa wao na walipie leseni bila ya kusukumwa sukumwa.Mwisho mwakilishi wa Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ngd Haika Massawe amesema kuwa yote ameyapokea na kuahidi kufanyiwa kazi na kushauri TRA pamoja na Maafisa biashara kukaa pamoja kujadili mambo ya leseni na kuhusu biashara ya kiwango gani inafaa EFD machine.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa