• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Mada Mbalimbali Zajadiliwa Miaka 62 ya Uhuru

Posted on: December 9th, 2023

Wilaya ya Ikungi yaadhimisha Miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania kwa kujadili Mada mbalimbali ikiwa ni pamoja na Mabadiliko ya Kisiasa,Kijamii, kiuchumi na Kitamaduni Tanzania Tangu Uhuru hadi sasa na Mada hiyo ilitolewa na Mwalimu Adam Shule ya Msingi Elimu maalum Ikungi pamoja na Mada ya Hali halisi ya maadili na mabadiliko yake tangu Uhuru hadi sasa iliyowasilishwa na Bi Margaret Kapolesya Afisa Elimu msingi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi.Hayo yamefanyika leo Tarehe 09 Disemba 2023 Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi ambapo Wazee,,Viongozi wa siasa,Viongozi wa Dini,Vijana,Watu wenye ulemavu na Watumishi wa Umma walishiriki Mijadala hiyo Baadhi ya maoni ya wananchi juu ya Mada hizo ni pamoja na kuishauri serikali kuanzisha makongamano ya mara kwa mara kujadili mambo yanayoihusu jamii inayowazunguka moja kwa moja ili kukuza uchumi,kupunguza Ukatili na mambo mengine mengi kuhusu maendeleo katika Wilaya ya Ikungi.Akisoma Taarifa katika Maadhimisho hayo  Katibu Tawala Wilaya ya Ikungi Ndg Rashid M.Rashid amesema kuwa Wilaya ilipokea Maagizo kutoka Serikalini kupanda miti, kufanya usafi wa mazingira na Kupamba hususani katika maeneo ya taasisi mbalimbali kufanya Bonanza la Michezo na katika Siku ya maadimisho ya Miaka 62 ya Uhuru wa Tanzania Bara kuwa na Mijadala mbalimbali na yote yametekelezwa kwa ubora unaostahili."Lengo ni kuimarisha jamii katika nyanja zote za kisiasa,kiutamaduni,kijamii na kiuchumi"Amesema Katibu Tawala.Mgeni Rasmi katika maadhimisho hayo Mhe  Mhe Thomas Apson akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe Peter Serukamba amesema kuwa ipo haja ya kukumbuka  mambo waliyotuachia waasisi wetu na kuyaendeleza."Mwalimu Julias Kambarage Nyerere alisema tupambane na adui watatu na adui hao ni pamoja na Ujinga,Umasikini na Maradhi na kwa kiasi kikubwa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Rais wetu mpendwa Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan anajitahidi kuhakikisha Elimu inapatikana kwenye Madarasa Bora,Vituo vya afya vinajengwa na Kutoa elimu mbalimbali juu ya maendeleo ya Jamii yetu".Amesesema DC ApsonMaadhimisho Haya yamebebwa na Kauli mbiu isemayo "Umoja na Mshikamano ni Chachu ya Maendeleo ya Taifa letu."

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa