• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Mifumo Iboreshwe Kuongeza Kasi ya Ukusanyaji wa Mapato

Posted on: September 14th, 2023

Kamati Tendaji ya Tehama Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ikiongozwa na Mwenyekiti wa kamati hiyo Ndg Justice Kijazi imefanya kikao kujadili uboreshaji wa mifumo mbalimbali inayotumika ili kuongeza ufanisi wa utendaji kazi kwa watumishi.Mifumo hiyo ni pamoja na mfumo wa ukusanyaji wa mapato LGRCIS,Mfumo wa matumizi ya fedha za Halmashauri MUSE,mfumo wa kuandaa  bajeti PLANREP,Mfumo wa uhasibu na utoaji wa taarifa katika vituo vya kutolea Huduma za Afya FFARS,mfumo wa kutolea takwimu elimu sekondari na msingi BEMIS,Mfumo wa kusimamia mishahara ya watumishi HCMIS,Mfumo wa usajili wa wanafunzi elimu msingi PReM,Mfumo wa utunzaji taarifa za walengwa PSSN mfumo wa kutolea taarifa za wagonjwa GoT-HoMIS,Mfumo wa kutolea taarifa usimamizi wa shule SIS, na Mfumo wa vibali vya kusafiria.Pia kamati imeomba kuboreshwa kwa mtandao wa LAN,kuhakiki mara kwa mara mashine za kukushanyia mapato POS na kutoa elimu juu ya matumizi ya mashine hizo kwa watendaji,kuboreshwa kwa mfumo wa manunuzi TANePS lengo kuu la kuboreshwa mifumo hiyo ni kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato kama Halmashauri na kukuza maendeleo.Mwisho Mwenyekiti wa kamati hiyo Ndg Justice Kijazi amepongeza juhudi za Afisa Tehama Bi Eva Myula kujitahidi kusimamia na kuboresha mifumo hiyo Halmashauri,Hospitali ya Wilaya,Shule na vituo baadhi vya Afya kuhakikisha mapato hayapotei na kusisitiza kufungwa kwa mifumo hiyo katika vituo vyote vilivyosalia pamoja na shule.MWISHOAfisa Habari Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi14/09/2023

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa