• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

MIRADI MIWILI YA MAJI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA MILIONI 740 YAKAMILIKA IKUNGI.

Posted on: January 10th, 2023

Mkuu wa wilaya Mhe. Jerry C. Muro leo  09/01/2023 amefanya ziara ya mwisho ya ukaguzi wa miradi miwili ya  maji ya kata za mtunduru na irisya jimbo la singida magharibi ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya uzinduzi wa miradi hiyo siku ya jumanne tarehe 10/01/2023 uzinduzi utakaofanywa na Mkuu wa mkoa wa singida Mhe. Peter Serukamba


Akizungumza wakati wa ziara hiyo Mhe. Muro amejiridhisha kuwa miradi imekamilika na wananchi wameanza kuyatumia maji safi na salama na kuwaomba wananchi wa kila eneo lenye mradi kujitokeza kwa wingi kesho


Awali meneja wa Ruwasa wilaya ya Ikungi Mhandisi Hope Liundi amefafanua kuwa kila mradi umetengenezwa kulingana na mahitaji ya eneo husika ambapo amesema katika kata ya mtunduru mradi utanufaisha wananchi zaidi ya elfu tano mia nane na mradi utakuwa na uwezo wa kutoa zaidi ya lita laki moja na elfu kumi na saba kwa siku uku ukiwa na maeneo ya wazi ya kuchotea maji saba DP's kwa kuanzia


Mhandisi Hope pia amesema mradi wa maji wa irisya utanufaisha wananchi zaidi ya elfu tatu na mia nane uku ukiwa na uwezo wa kuzalisha lita zaidi ya laki mbili na elfu arobaini kwa siku ambapo chanzo chake ni kisima kirefu na umechukua muda wa miezi sita kukamilika


Mhe. Muro amehitimisha ziara yake kwa kumshukuru Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia wilaya hiyo kupewa fedha zaidi ya bilioni 2 kwenye sekta ya maji ikungi na kuwahakikisha viongozi wa halmashauri za vijiji vyote viwili ambavyo ni wanufaika kuwa watafanya kila linalowezekana kuhakikisha mpaka mwaka 2025 wanafikia asilimia 85 ya upatikanaji wa maji kutoka asilimia 62 za sasa hivi


 Tazama picha za ziara


Imetolewa na

Ofisi ya mkuu wa wilaya Ikungi

09/01/2023.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Mafunzo ya BVR Awamu ya Pili yazinduliwa

    May 14, 2025
  • Msigala Aagiza kutungwa kwa Sheria Ndogo Kudhibiti chumvi

    May 09, 2025
  • Ikungi Kinara wa Miradi Bora

    May 08, 2025
  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa