• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Mkurugenzi Kijazi Ameagiza Kutunzwa kwa Msitu wa Mlilii

Posted on: July 15th, 2024

Katika ziara ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ndg Justice Kijazi leo tarehe 15 Julai, 2024 katika Kata ya Misughaa kwenye mkutano na wananchi amepokea kero mbalimbali za wananchi wa Kata hiyo huku wakipongeza juhudi za Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuleta fedha za kutosha ujenzi wa miradi mipya na umaliziaji wa miradi.

Kero hizo ni pamoja na upungufu wa majosho, ukosefu wa barabara inayounganisha Kata ya Misughaa na Kata ya Ntuntu, upungufu wa maji safi na salama katika Kata ya Misughaa pamoja na migogoro mbalimbali ya ardhi.Mkurugenzi amesema kuwa serikali imejipanga kikamilifu kuhakikisha kila kero katika kata zote zinatatuliwa kwa wakati ili kupunguza na hatimaye kumaliza changamoto hizo.

Pia amewaomba wananchi kutunza msitu wa Mlili kwa manufaa yao kwani ni msitu ambao unapaswa kuingia kwenye mpango wa uzalishaji wa hewa ya ukaa itakayoingiza mapato makubwa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi kwa manufaa ya Wilaya nzima hususani vijiji vinavyolizunguka eneo hilo.Aidha Kwa upande wake Afisa maendeleo ya Wilaya ya Ikungi Bi Haika Massawe ametoa Elimu juu ya umuhimu wa fedha za  asilimia kumi za vijana, wanawake na watu wenye ulemavu zinavyoweza kuwasaidia kujikwamua kiuchumi kupitia vikundi mbalimbali watakavyojiunga ili kuomba fedha hizo Halmashauri na kuanzisha miradi yao.

Pia Bi-Haika Massawe ni Mratibu wa uchaguzi wa serikali zamitaa Wilaya ya Ikungi amewasisitiza wananchi kujiandaa kikamilifu na chaguzi wa serikali za Mitaa mwaka huu kwa kujiandikisha katika daftari la kudimu la wapiga kura, kuwania ngazi za uongozi, pamoja na kupiga kura kwa viongozi watakao waongoza kuleta maendeleo katika vijiji vyao.

Kwa upande wake mwanasheria wa Wilaya ya Ikungi amewataka Wanachi kutengeneza sheria ndogo ndogo zitakazo waongoza katika utekelezaji wa majuku yao kadri wanavyokubaliana katika mikutano yao ya vijiji.@samia_suluhu_hassan@ikulu_mawasiliano@dr_philip_isdor_mpango

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Mafunzo ya BVR Awamu ya Pili yazinduliwa

    May 14, 2025
  • Msigala Aagiza kutungwa kwa Sheria Ndogo Kudhibiti chumvi

    May 09, 2025
  • Ikungi Kinara wa Miradi Bora

    May 08, 2025
  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa