• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ndg Justice Kijazi ameanza ziara ya siku tatu kutembelea Kata ya Misughaa

Posted on: July 15th, 2024

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ndg Justice Kijazi ameanza ziara ya siku tatu kutembelea Kata ya Misughaa, Kikio na badae kumalizia kata ya Ntuntu lengo ikiwa ni kusikiliza na kushughulikia kero mbalimbali za watumishi na wananchi katika Kata hizo.Ziara hiyo imeanza mapema hii leo tarehe 15 Julai, 2024 katika Kata ya Misughaa ambapo Mkurugenzi akiambatana na baadhi ya wakuu wa Idara na vitengo wamesikiliza kero za watumishi katika ukumbi wa shule ya Sekondari Dkt Sheini ambapo kero kubwa imekua upungufu wa miundombinu wezeshi katika shule za msingi sekondari pamoja na vituo vya afya hali inayopelekea ugumu kwa watumishi kufanya shughuli zao za kila siku.

Akijibu maswali ya watumishi Mkurugenzi amesema tathimini ya ukarabati wa miundombinu yote katika Wilaya ya Ikungi ni zaidi ya bilioni 11 zinahitajika ambapo amesema Halmashuri itajitahidi kupunguza changamoto mbalimbali kadri fedha zitakavyopatikana.

Aidha amesema katika Kata ya Misughaa ametenga zaidi ya milinoni 80 kutatua kero mbalimbali ikiwa ni pamoja na milioni 20 kumalizia ujenzi wa bweni la wanafunzi sekondari ya Dkt Sheni ambapo Mhe Waziri Nape alileta mifuko ya sumenti 400 kukamilisha bweni hilo, milioni 50 ujenzi wa madarasa mawili Shule ya Msingi Sakaa lakini pia ameagiza kukamilishwa kwa vyoo zahanati ya Misughaa ili kupunguza adha iliyopo na kukarabati baadhi ya vyumba vya madarasa pamoja na kuhakikisha madawati yanatosheleza kwa wanafunzi.

Pia amepongeza juhudi za shule ya Sekondari Dkt sheini kutekeleza maagizo ya serikali juu ya wanafunzi kupata chakula wakiwa shule kwani wananchi wametekeleza kwa kiwango kikubwa na wanaakiba ya chakula cha kutosheleza mpaka mwaka 2025.Kwa upande wake Ndg Jonas Lutiga akimuwakilisha Afisa Utumishi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi amesisitiza watumishi kufata maadili ya kiutumishi Kuanzia nidhamu mavazi na utekelezaji wa majukumu yao ya serikali ili kukuza maendeleo katika Kata ya Misughaa.@samia_suluhu_hassan @dr_philip_isdor_mpango @ikulu_mawasiliano @ortamisemi @ccmtanzania @tbctaifa @millardayo

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Mafunzo ya BVR Awamu ya Pili yazinduliwa

    May 14, 2025
  • Msigala Aagiza kutungwa kwa Sheria Ndogo Kudhibiti chumvi

    May 09, 2025
  • Ikungi Kinara wa Miradi Bora

    May 08, 2025
  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa