• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA IKUNGI AENDELEA NA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: May 31st, 2025

Kata ya Ikungi, 31 Mei 2025 – Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Ndugu Kastori Msigala, leo ameendelea na ziara yake ya kutembelea miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika wilaya hiyo.

Akiwa katika Kata ya Ikungi, Mkurugenzi huyo alitembelea zahanati ya Matongo, shule ya msingi na sekondari ya Matongo, shule ya msingi Dung’unyi pamoja na zahanati ya Ighuka.

Katika ziara yake kwenye zahanati ya Matongo, Ndugu Msigala alibaini kuwepo kwa changamoto mbalimbali katika matumizi ya Mfumo wa mapato wa Kielektroniki wa Serikali wa utoaji huduma za afya (GOTHOMIS). Mojawapo ya changamoto ni kutotumika ipasavyo kwa mfumo huo, ambapo baadhi ya dawa hazionekani kwenye orodha ya main store na sub store hivyo kutolingana na orodha ya bin card.

Alisema Hali hiyo, ikiwa haitadhibitiwa, inaweza kusababisha upotevu wa dawa na kuisababishia serikali hasara.

Ametoa maagizo dawa zote zinazonunuliwa kutoka Bohari ya Dawa (MSD) au kwa washitiri wengine, invoice na batch number za dawa zilingane na za kwenye mfumo huo. Pia ameagiza kuwa changamoto zote zinazohusiana na mfumo huo zitatuliwe haraka na mafunzo yatolewe kwa watumishi wote wasio na uelewa wa kutosha juu ya matumizi ya mfumo huo.

Katika zahanati ya Ighuka, Mkurugenzi Msigala ameagiza ukamilishaji wa ujenzi wa shimo la choo na sehemu zingine zilizobakia ukamilike haraka iwezekanavyo, kwani Serikali imeshatoa fedha kupitia mapato ya ndani kwa ajili ya kukamilisha mradi huo ili jamii inufaike.


Jumla ya shilingi milioni 12 tayari zimeingizwa kwenye akaunti ya zahanati hiyo kwa ajili ya umaliziaji wa ujenzi wa choo, shimo ,milango pamoja na sehemu zingine.

Aidha, Ndugu Msigala ameshauri uongozi wa zahanati hiyo kuwasiliana na kitengo cha manunuzi ili kufuata utaratibu wa kujaza imprest kupitia mfumo wa NEST, kwani taratibu zinaruhusu pale panapohitajika.

Kauli hiyo imetolewa kufuatia maelezo ya Mtendaji wa Kijiji cha Ighuka, Bi Monica Edward, aliyeeleza kuwa ucheleweshajwi wa umaliziaji wa mradi huo umetokana na mzabuni aliyepatikana kupitia mfumo wa NEST kuchelewesha vifaa vya ujenzi.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Wachimbaji Wadogo Watakiwa Kuijua Sheria ya Madini na Kanuni Zake

    June 22, 2025
  • Wajasiriamali Kupata Mikopo Ikungi

    June 20, 2025
  • Watendaji wa Vijiji Wanaoshindwa Kutimiza Wajibu Wao Waonywa

    June 18, 2025
  • Hoja 19 Kufungwa Ifikapo Tarehe 19 Juni Mwaka Huu

    June 17, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa