• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Mkuu wa Mkoa Awataka Wataalamu wa Kilimo Kuishi Maeneo Yao ya Kazi

Posted on: January 11th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe Peter Joseph Serukamba amewataka wataalamu wa Kilimo Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi kuishi katika vituo vyao vya kazi ili kuhakikisha wanawafikia wakulima wengi kwa urahisi ili kutoa Elimu ya kilimo bora chenye tija kwa maendeleo ya Mkoa wetu.Hayo ameyasema leo alipokuwa akizungumza na Wakuu wa Idara na Vitengo,Maafisa Kilimo,Maafisa Ugani na Madiwani Wilaya ya Ikungi katika ukumbi wa Halmashauri ambapo amewataka Wataalamu hao kuwahudumia kwa karibu wananchi ili waweze kupanda mbegu bora,kuzingatia matumizi ya Mbolea na kuongeza maeneo ya kulima ili kukuza kipato cha mwananchi mmoja mmoja na kuondokana na Umasikini."Nasisitiza haya nikiwa na maana natamani Mkoa wetu utajwe kuwa ni miongoni mwa mikoa inayotegemewa kwa kilimo cha zao fulani ambalo ni Alizeti ili kuipunguzia serikali mzigo wa kuagiza mafuta kutoka nchi za jirani."Amesema Mkuu wa Mkoa.Sambamba na hilo ameitaka Idara ya Kilimo kusimamia kwa karibu usambazaji wa mbegu za ruzuku kwa wananchi vijiji vyote kwa wakati na kutoa elimu kwa wananchi juu ya matumizi ya mbegu hizo iendene sambamba na uwekaji wa mbolea za kutosha kupandia na kukuzia lengo ni kupata mazao mengi katika eneo dogoAidha amemuagiza Mkurugenzi kufatilia utendaji kazi wa Wataalamu wa Kilimo kuwa wanaishi katika maeneo yao ya kazi,Kupima afya ya udogo na kutoa ripoti,Kasi ya uandikishaji wa wakulima, na Kushiriki kikamilifu ugawaji wa Mbegu za Ruzuku kwa Wakulima.Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe Thomas Apson  Akishirikiana na Halmshauri amesema kuwa wamejipanga kikamilifu kuhakikisha mbolea inawafikia wakulima kwa wakati na kusisitiza matumizi bora ya mbolea kwa wakulima kukuza sekta ya kilimo Ikungi na nchini kwa ujumla.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa