• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Msigala Akagua Miradi ya Maendeleo, Ataka Mapato ya Ndani Yakamilishe Ujenzi

Posted on: September 15th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Ndugu Kastori Msigala akiwa pamoja na Wakuu wa Divisheni ameendelea na ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo wilayani Ikungi leo Septemba 15, 2025 kwa kutembelea miradi inayotekelezwa katika Kata za Kikio na Misughaa.

Akiwa katika ziara hiyo, Msigala amesisitiza umuhimu wa matumizi ya mapato ya ndani ya Halmashauri katika kukamilisha miradi hiyo ili wananchi waanze kupata huduma stahiki mapema.

“Ni muhimu kutumia mapato ya ndani kumalizia miradi tuliyoianzisha ili wananchi waanze kupata huduma muhimu, mweka hazina chukua hilo kwa utekelezaji zaidi” amesema Msigala.


Aidha, ametoa wito kwa Idara ya Elimu Msingi, Manunuzi na Ujenzi kushirikiana kwa karibu kuhakikisha miradi hiyo inakamilika kwa wakati na kwa ubora unaohitajika.


Miradi ya Shule iliyotembelewa ni pamoja na ya Shule ya Msingi Sakaa, Msule, Munane, Simbikwa na Mankumbi pamoja na Shule ya Sekondari Dr. Shein.

Sambamba na hilo pia Miradi ya Afya iliyotembelea ni pamoja na maandalizi ya ujenzi katika Kituo cha Afya cha Misughaa, ukamilishaji wa Zahanati ya Kijiji cha Msule na Matundu ya Vyoo.

Ziara hiyo inalenga kufuatilia maendeleo ya utekelezaji wa miradi na kuimarisha usimamizi wa fedha za umma.

Hii ni miradi inayotekelezwa katika Mwaka wa Fedha 2024/25 na 2025/26 katika Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi ili kurahisisha huduma kwa wananchi.


Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Msigala Akagua Miradi ya Maendeleo, Ataka Mapato ya Ndani Yakamilishe Ujenzi

    September 15, 2025
  • MAFUNZO YA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA YAZINDULIWA WILAYANI IKUNGI

    August 04, 2025
  • Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025 Awataka Vijana Kujishughulisha

    July 23, 2025
  • Pongezi Mradi wa Ujenzi wa Shule Mpya ya Sekondari ya Amali Samamba

    July 23, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa