• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Rasimu ya mpango na Bajeti yapitishwa

Posted on: February 10th, 2025

Wanakamati wa Huduma za Uchumi Wapitisha Rasimu ya Mpango na Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2025/2026

Wanakamati wa Huduma za Uchumi wamepitisha rasimu ya Mpango na Bajeti ya mwaka wa fedha 2025/2026 katika kikao kilichofanyika leo, tarehe 11 Februari 2025.

Makisio ya rasimu ya Mpango na Bajeti ya mwaka wa fedha yalijumuisha vitengo na divisheni mbalimbali. Kikao hicho kilijadili:

  • Divisheni za Kilimo, Mifugo, na Uvuvi.
  • Divisheni ya Miundombinu na Maendeleo ya Vijijini na Mijini.
  • Divisheni ya Viwanda, Biashara, na Uwekezaji.

Aidha, vitengo vilivyojadiliwa vilihusisha:

  • Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira.
  • Kitengo cha Udhibiti wa Taka na Usafi wa Mazingira.

Maswali kuhusu Maboresho ya Majosho
Wakati wa kikao, Mheshimiwa Omary Toto aliuliza kwa nini maboresho na ukarabati wa majosho unaingizwa kwenye bajeti wakati majosho hayo yanajiendesha.

Akijibu swali hilo, Afisa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Ndugu Issa Tweve, alisema:
"Fedha zinazopatikana kwenye majosho zinatumika kuyaendeleza kwa kununua madawa na kufanya ukarabati mdogo mdogo. Fedha zilizotengwa kwenye bajeti ni kwa ajili ya ukarabati mkubwa na uanzishwaji wa majosho mapya."

Ushauri wa Mwenyekiti wa Halmashauri
Kaimu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Mheshimiwa Petro Mtyama, aliishauri Halmashauri kutobana sana ukomo wa bajeti kwa divisheni na idara mbalimbali kupitia mapato ya ndani. Alisema kuwa hatua hiyo inasababisha shughuli nyingi kutokamilika kwa wakati au kutokufanyika kabisa.

Ushauri huo ulitolewa baada ya Ndugu Filbert Benedict kujibu swali lililoulizwa na Mheshimiwa Toto kuhusu kwa nini fedha zilizotengwa kwa Kitengo cha Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira ni kidogo na zinatolewa kidogo kidogo.

Ndugu Benedict alifafanua kuwa, kati ya shilingi milioni 24 (24,000,000) zilizotengwa kwenye bajeti inayoishia Desemba 2024, ni shilingi milioni 2.06 (2,060,000) pekee ndizo zilizotolewa kupitia mapato ya ndani.

MWISHO

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa