• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Shanta Yakabidhi Miradi ya CSR Yenye Jumla ya Milioni 490.9

Posted on: June 2nd, 2025

Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango Halmshauri ya Wilaya ya Ikungi yapokea miradi ya uwajibikaji kwa jamii CSR inayogharimu jumla ya shilingi milioni 490.9 kutoka kampuni ya Shanta Mgodi wa Singida mwaka wa fedha 2022/2023.

Ziara hiyo ya kutembelea, kukagua na kupokea miradi hiyo imeanza hii leo tarehe 02 Juni, 2025 katika Wilaya ya Ikungi Mkoa wa Singida ambapo kamati hiyo imetembelea miradi 10 ili kujiridhisha kuhusu ubora na ukamilifu wa miradi hiyo.

Kamati imepokea Trekta na Tela yake yenye thamani ya shilingi milioni 85.5, vitanda vya dabo deka magodoro na blanketi shule ya msingi Ikungi kwa watoto wenye mahitaji maalumu vyenye thamani ya shilingi milioni 12.5, matundu 20 ya vyoo yenye thamani ya shilingi 47.3 pamoja na madawati 300 yenye thamani ya shilingi 32.5 shule ya msingi Mwau, madara mawili na ofisi yenye thamani ya shilingi milioni 62.5 pamoja na matundi tisa ya vyoo yenye thamani ya shilingi milioni 24.2 na mradi wa maji wenye thamani ya shilingi milioni 41.8 katika shule ya msingi Mbogho,

Vile vile kamati imefika mradi wa ujenzi wa zahanati kijiji cha Mang'onyi unaogharimu takribani shilingi milioni 159.5, ujenzi wa barabara ya vumbi kilomita 6 yenye kugharimu milioni 12.5, pamoja na mradi wa ukarabati na zahanati kijiji cha Sambaru unaogharimu shilingi milioni 12.5

Katika ziara hiyo Mwenyekiti wa Halmshauri ya Wilaya ya Ikungi Mhe. Ally J. Mwanga kwa niaba ya wanachi na madiwani ametoa shukrani kwa miradi hiyo ya CSR kwani imekuwa msaada kwa wananchi wilayani Ikungi.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmshauri ya Wilaya ya Ikungi Ndg. Kastory Msigala amesisitiza kukamilika kwa miradi hiyo kwa wakati na kwa ubora kwa kuzingatia ushauri wa Wahandishi na Maafisa Manunuzi ili kutengeneza miradi bora wilayani hapa.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Wachimbaji Wadogo Watakiwa Kuijua Sheria ya Madini na Kanuni Zake

    June 22, 2025
  • Wajasiriamali Kupata Mikopo Ikungi

    June 20, 2025
  • Watendaji wa Vijiji Wanaoshindwa Kutimiza Wajibu Wao Waonywa

    June 18, 2025
  • Hoja 19 Kufungwa Ifikapo Tarehe 19 Juni Mwaka Huu

    June 17, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa