• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Ununzi wa bulk purchase unaokoa fedha za Miradi

Posted on: September 16th, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Ndugu Kastori Msigala, ameendelea na ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo Ikungi , ambapo  leo, Septemba 15, 2025, ilihusisha ukaguzi wa miradi ya ujenzi katika Kata ya Mang’onyi.

Akiwa ameambatana na Wakuu wa Divisheni, Msigala alitembelea miradi ya ujenzi katika Shule za Msingi Sambaru, Mbogho na Mwau, Shule ya Sekondari Mang’onyi Shanta pamoja na Zahanati ya Tupendane.

Katika ziara hiyo, aliwataka maafisa manunuzi kuhakikisha vifaa vya ujenzi vinapatikana kupitia mfumo wa ununuzi wa moja kwa moja kutoka viwandani (bulk purchase) ili kupunguza gharama.

Aidha, alimsisitiza afisa manunuzi wa wilaya kusimamia shughuli zote kwa kutumia mfumo wa NEST, hatua itakayorahisisha upatikanaji wa wazabuni kwa wakati na kuwasaidia walimu  wanaopata changamoto mbalimbali ikiwemo kukosa wazabuni.

Msigala pia alisisitiza kuwa fedha zote za Mfuko wa Jimbo ziwekwe moja kwa moja kwenye akaunti husika za miradi badala ya kupitia akaunti za vijiji, ili kuimarisha uwajibikaji na usimamizi wa fedha za umma.

Ziara hiyo inalenga kufuatilia maendeleo ya utekelezaji wa miradi na kuhakikisha matumizi sahihi ya fedha za umma, ili wananchi wa Wilaya ya Ikungi wapate huduma bora za msingi, hususan katika sekta za elimu na afya.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Ununzi wa bulk purchase kuokoa fedha za Miradi

    September 15, 2025
  • Ununzi wa bulk purchase unaokoa fedha za Miradi

    September 16, 2025
  • Msigala Akagua Miradi ya Maendeleo, Ataka Mapato ya Ndani Yakamilishe Ujenzi

    September 15, 2025
  • MAFUNZO YA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA YAZINDULIWA WILAYANI IKUNGI

    August 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa