• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Askari wa Jeshi la Akiba 141 Wanaume 121 na Wanawake 20 Wilaya ya Ikungi Wahitimu Mafunzo ya Mgambo.

Posted on: November 23rd, 2024

Askari wa jeshi la akiba 141 wanaume ikiwa ni 121 na wanawake 20 wilaya ya Ikungi wahitimu mafunzo yaliyodumu kwa zaidi ya miezi mitatu katika kata ya Kituntu wilayani hapa.

Akizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo tarehe 23 Novemba, 2024 mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe Thomas Apson amewapongeza wote walioonyesha nidhamu mpaka kufiki siku ya kuhitimisha mafunzo hayo na kuwaomba waende kuwa mabalozi wazuri ili kudumisha amani katika Wilaya hii.

Hata hivyo amempongeza Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ndg. Justice L. Kijazi kwa kuonyesha ushiriki wake katika kila yanapotokea mafunzo ya jeshi la akiba kwa kutatua changamoto mbalimbali akishirikiana na madiwani.

Mkuu wa Wilaya amesema kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imekuwa ikitoa kipaumbele kwa waliopata mafunzo ya jeshi la akiba Mgambo kujiunga na jeshi la kujenga taifa na kuwapa fursa mbalimbali zinazojitokeza ndani ya Wilaya na hata kwingineko

Kwa upande wake Kaimu mshauri wa Mgambo Wilaya ya Ikungi amesema kuwa kambi hiyo ilipokea jumla ya wanafunzi 192 wanaume 154 na wanawake 38 na kati yao wanafunzi 42 hawakuendelea na mafunzo baada ya kuchaguliwa kujiunga na Jeshi la kujenga taifa kwa kujitolea na wanafunzi tisa hawakumaliza mafunzo kwa sababu za utoro.

"Wanafunzi hao wamesoma masomo mbalimbali na lengo kuu ni kuwajengea uzalendo, kuwajengea ukakamavu, kudumisha nidhamu na kuwaweka tayari kwa lolote litakalotokea" amezungumza mshauri wa Mgambo.


Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa