• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Baraza la Madiwani Lalia na Mapato, Usahauri Watolewa.

Posted on: October 31st, 2024

katika mwaka wa fedha 2024/2025,halmashauri ya Wilaya ya Ikungi ilipanga kukusanya na kutumia jumla ya shilingi Bilioni 10.9 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo kutoka kerikali kuu, huku wahisani na mapato ya ndani ikiwa ni bilioni 1.2 na mpaka  sasa halmashauri imepokea jumla ya Shilingi bilioni 5 ambazo zinaendelea kutumika katika  utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo wilayani hapa.

Akisoma taarifa katika baraza la madiwani Wilaya ya Ikungi tarehe 31 Octoba, 2024 ukumbi wa mikutano Halmashari, Mkurugenzi mtendaji Ndg Justice L. Kijazi  amesema kuwa katika mwaka wa fedha 2024/2025  halmashauri ya Wilaya ya Ikungi katika bajeti yake ya utekelezaji wa miradi kwa fedha za mapato ya ndani hadi kufikia siku ya kikao hiki imepeleka jumla ya shilingi milioni 440 kutekeleza miradi kama vile Ujenzi wa nyumba 1 ya mwalimu katika shule ya msingi Magungumka, Ujenzi wa Matundu 32 ya vyoo na vyumba 6 vya madarasa katika shule za msingi za Nali, shule shikizi Sanya-Lighwa, Ufana, Mankumbi, Msosa, Shule shikizi Mtakuja-mwaru, Utengenezaji wa madawati ya wanafunzi kwa shule za msingi, Ukamilishaji wa miundombinu ya afya katika zahanati ya Muhintiri, Mwaru, tupendane, mgungira, Choda, Makhonda  na vituo vya afya vya Irisya, Iyumbu na ntuntu, pamoja na Ujenzi wa matundu ya vyoo 29 katika shule za sekondari za Ighombwe, Masinda day, Ntuntu, Mang’onyi shanta, Miandi na Muhintiri.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe.Thomas Apson katika hotuba yake amesema kuwa kuna haja ya halmashauri kubuni vyanzo vya mapato vya kudumu kama vile kuanzisha vituo vya mafuta, vivutio ya kitalii, kuhifadhi misitu ili kuzalisha hewa ya ukaa pamoja na kuanzisha hoteli za kisasa vyanzo ambavyo ni vyakudumu tofauti na baadhi ya vilivyopo ambavyo vinaingiza mapato kwa msimu.

Naye mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Ikungi Mhe.Ally J. Mwanga amewataka madiwani kuwa mabalozi wazuri katika ukusanyaji wa mapato wakishirikiana na watendaji wa kata na vijiji pamoja na utunzaji wa misitu kama vile msitu wa Mlilii pamoja na Msitu wa Minyughe kwa maslahi mapana ya Halmashauri yetu.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa