• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

CHANGAMOTO YA MAJI UNYAHAATI YATATULIWA

Posted on: September 22nd, 2021


Kwa hisani ya ofisi ya mkuu wa wilaya-  ya Ikungi

Katika ziara yangu ya kata ya Unyahati kijiji cha mahambe jimbo la Singida mashariki wilaya ya Ikungi, nilitoa mrejesho wa namna gani serikali kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo akiwemo Mhe Mbunge wa jimbo ka Singida mashariki Miraji Mtaturu tulivyotatua changamoto ya maji katika kijiji cha mahambe


Mahembe ni moja katika ya vijiji 8 vilivyopoto kata ya Unyahaati jimbo ka Singida mashariki na changamoto kubwa ilikuwa maji, kwangu sikutaka kuzungumza maneno mengi zaidi ya kwenda kuzindua awamu ya kwanza ya mradi wa maji, kwangu mimi natambua wananchi hawataki hotuba ndefu wala maneno mengi ya michakato wanataka kusikia majibu ya kero na changamoto zao na hapa nikazindua mradi wa maji nikafunga mkutano nikaondoka na kuwaacha wananchi wakifurahi kupata maji safi na salama ya kunywa na shughuli zao zingine


Kwa sasa vijiji vyote nane vinapata huduma ya maji safi na salama, tunachoendelea nacho ni kuongeza wigo (extension) ya miradi yetu ya maji ili iwafikie wananchi wengi zaidi na hatimae kufanikiwa kuwaunganishia maji majumbani mara baada ya kumaliza awamu ya kwanza ya kupeleka maji kwenye vilula DP,s Domestic Point


Nimefanikiwa pia kuanzisha jumuiya ya watumiaji maji wa kijiji cha mahambe na kuwajengea uwezo wa namna watausimamia na kuendesha mradi huu  wa maji kwa kupanga bei za maji, na kukusanya fedha za maji wao wenyewe na kisha kuzielekeza fedha hizo katika kuongeza wigo wa upatikanaji wa maji katika maeneo yao, nimeona nikijenga mfumo imara wa wananchi katika kusimamia maji yao mradi utakuwa endelevu


Asanteni sana wizara ya maji kupitia RUWASA wilaya, asante sana Mhe Miraji Mtaturu Mbunge singida mashariki, asanteni sana wananchi wetu kwa kuwa na subira na sasa kazi imefanikiwa

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa