• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

DC Afunga Mafunzo ya Jeshi la Akiba Ikungi

Posted on: November 10th, 2023

Mafunzo ya Jeshi la akiba (Mgambo) yafika tamati Tarehe 10 Novemba 2023 katika viwanja vya Shule ya msingi Ikungi huku mgeni Rasmi akiwa ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe.Thomas Apson.Mhe.Apson amewataka wahitimu wa mafunzo hayo waende kuimarisha ulinzi na Usalama wa wananchi na mali zao na kuwa mfano wa kuigwa na jamii na sio kuwa chanzo cha ukosefu wa amani katika jamii zao.Pia Mgeni Rasmi amewaomba wahitimu hao wa mafunzo kujishughulisha na kazi mbalimbali za maendeleo na kujiajiri pale inapowezekana katika maswala mazima ya ujasiriamali ili kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira nchini.Akisoma Taarifa mbele ya Mgeni Rasmi Lutel Canal Taraya wa Wilaya ya Ikungi amesema mafunzo haya yalifunguliwa mnamo Tarehe 01 July,2023 na Mkuu wa Wilaya Mhe.Thomas Apson kukiwa na washiriki 45  Wanawake nane na Wanaume 37 baadae wakaongezeka kufikia 128 Wanaume 104 na Wanawake 24 na  katikati ya mafunzi baadhi yao walipata bahati ya kujiunga na JKT kwa kujitolea kutokana na sifa zao Wavulana wakiwa 12 na Wasichana Sita jumla yao 18 hata hivyo wengine watatu walifukuzwa kutokana na utoro na vijana 9 waliacha mafunzo kwa sababu zao binafsi."Nawapongeza wahitimu wa mafunzo haya kwa kuwa wavumilivu na najivunia kupata Jeshi la akiba vijana shupavu watakao isaidia Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupambana na maswala mbalimbali katika jamii zinazo wazunguka kama vile maswala ya Ruswa,Wizi,Ukatili wa Kijinsia na mambo mengine kadha wa kadha."Amesema Lutel Canal Taraya.MWISHOImetolewa na:Afisa Habari Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi10/11/2023

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa