• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

DC Apson Asikiliza Kero za Wananchi Magungumka

Posted on: November 1st, 2023

Baadhi ya wananchi Wilaya ya Ikungi Kata ya Mgungira kitongiji cha Magungumka wazungumza kero zao moja wapo ikiwa ni pamoja na uhaba wa maji katika eneo hilo hali inayowalazimu kusubiri kwa mda mrefu kutokana na uwepo wa foleni kuteka maji hayo.Wananchi wametaja kero zingine kuwa kuna tatizo la huduma za  Afya ubovu  barabara kipindi cha mvua ,ukosefu wa umeme na wameongeza na kuomba kugawanyika kwa maeneo ya utawala kati ya Mgungira na Magungumka kutokana na ukubwa wa maeneo uliopo.Hayo yamesemwa Tarehe 01 Novemba 2023 katika ziara ya Mkuu wa Wilaya ya Ikungi MheThomas Apson Kata ya Mgungira na kuagiza changamoto hizo kufanyiwa kazi kwa wakati ili iweze kuwa msaada kwa wananchi haoAkijibu swali Bwana Victor Afisa kutoka RUWASA Wilaya ya Ikungi mara baada ya kutembelea mradi mpya wa maji unaojengwa katika Kitongoji hicho amesema mradi wa huo wa maji umesanifiwa na kulenga kuhudumia wakazi 5173 wa kitongoji cha Magungumka na kijiji cha Mgungira."Mradi unategemea kugharimu kiasi cha zaidi ya milioni 331.6 mpaka kukamilika kwako"Amesema Bwana VictorMkuu wa Wilaya akiongozana na Afisa Ardhi pamoja na Afisa kutoka RUWASA Wilaya ya Ikungi pia ametembelea ujenzi wa kituo kipya cha polisi  Magungumka,mtendaji wa kata amesema Ujenzi umeanza mwaka jana kwa kusaidiana na  nguvu za viongozi na wananchi na kufikia sasahivi ni hatua za ukamilishaji na mara baada ya hapo alitembelea Kambi ya wavuvi walioathiriwa na ajali ya moto baada ya kuungua kwa kambi hiyo watu zaidi ya watu 80 wamepata athari na mmoja kufariki dunia papo hapo katika ajali hiyo.Mkuu wa wilaya amesema wapo tayari kutoa msaada kwa walioathiriwa baada ya taratibu  kufanyika na kuwashauri kujenga mahema yakudumu yasiyokuwa na hatari tofauti na wanavyojenga kwa kutumia nyasi."Serikali inayoongozwa na mama yetu Dkt Samia Suluhu Hassan inafanya vizuri kwenye miradi mbalimbali kama maji,barabara,umeme,miradi ya shule na maswala ya Afya na tunajitahidi miradi ya namna hiyo iwafikie pia huku."amesema Mkuu wa WilayaMWISHOImetolewa na:Afisa HabariHalmashauri ya Wilaya ya Ikungi01/11/2023

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa