• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

DC Ikungi Alia na Kauli za Baadhi ya Wauguzi.

Posted on: May 28th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe Thomas Apson awataka wauguzi kuwa na kauli nzuri kwa wagonjwa katika Hospitali, vituo vya afya  pamoja na Zahanati kwani hali hiyo inashusha sifa ya Wilaya na hata kuongezeka kwa vifo pale wagonjwa wasipohudumiwa ipasavyo.Hayo yamesemwa hii leo terehe 28 katika kikao cha kawaida cha Tujiongeze tuwavushe salama, M-MAMA, Lishe, ICHF cha tarehe 28 Mei, 2024 kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi.Mkuu wa Wilaya amesema kuwa changamoto ya kauli mbaya kwa wagonjwa imesemwa mara kadhaa katika Tarafa ya Sepuka na kumwomba Afisa Ustawi wa jamii kufuatilia kwa karibu swala hilo na kuwachukulia hatua wauguzi wanaoenda kinyume na taratibu za kazi.Aidha katika kikao hicho kilichohudhuriwa pia na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Bi Haika Massawe, Mganga Mkuu wa Wilaya , Watendaji wa kata pamoja na waganga wafawidhi wa Hospitali, Zahanati na vituo vyote vya afya Wilaya ya Ikungi ajenda mbalimbali zimejadiliwa.Katika kikao hicho zimesomwa na kujadiliwa taarifa za lishe, taarifa za afya ya Uzazi na Mtoto, taarifa ya M-Mama pamoja na taarifa ya mfuko wa afya ya jamii iliyoboreshwa ICHF na mengineyo ambayo Kaimu Mkurugenzi Mtendaji amesema tunapaswa kuyapa kipaumbele ili kuboresha afya kwa wananchi wa Wilaya ya IkungiMwisho Mganga Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Dkt Dorisila John ameongeza na kusema kuwa  kila kituo kinapaswa kuhamasisha wananchi kujiunga na pia kuhimiza wanafunzi katika shule zote wajiunge na mfuko wa bima ya afya ya jamii"Na pia kutoa elimu ya Afya ya uzazi kwenye mikutano ya hadhara  na kwa wasichana walioko shule na nyumbani" amezungumza Mganga Mkuu

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa