• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

DC. JERRY MURO AZUNGUMZA NA WATUMISHI WA HALMASHAURI

Posted on: June 22nd, 2021

Mkuu mpya wa Wilaya ya Ikungi  Mh. Jerry Cornel Muro amefanya ziara yake ya kwanza kwa kuzungumza na watumishi mbalimbali wa Halmashauri ya wilaya ya Ikungi.

Ziara hio kwa watumishi imefanyika leo tarehe 22/06/2021 ambapo alikuwa ameongozana na   Katibu tawala  ndugu Winfrida Funto, Afisa usalama wa wilaya , afisa TAKUKURU wa wilaya na baadhi ya maafisa wa kamati ya ulinzi na usalama.

  Mh. Muro ametoa shukrani kwa kuweza kuaminiwa na  Mh. Rais ya wa Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania kwa kuweza kumteua kuiongoza wilaya ya Ikungi.  Pia ametoa pongezi kwa wilaya ya Ikungi kwa kuweza kupata hati safi mara saba mfululizo.

Alisisitiza halmashauri lazima iwe na vipaumbele ambavyo vitaweza kuifanya halmashauri ifanye vizuri zaidi.  Baadhi ya Vipaumbele alivyosisitiza ni kuwa na "BRANDY''  alisema " ili Wilaya iweze kutambulika inatakiwa ijiwekee brandy yake ambayo ni tofauti na mahali pengine popote" alitolea mfano kilimo cha Alizeti kama zao la wilaya, ambapo kama wilaya itawekeza kwenye kilimo cha alizeti itapata faida kubwa na kujulikana zaidi.

Pia amesisitiza katika uongozi wake atahakikisha kupunguza ziro katika shule zote za sekondari ili wilaya iweze kufanya vizuri kielimu. Jukumu kuimarisha ulinzi na usalama katika wilaya ili wakazi wa Iikungi waweze kufanya kazi zao kwa uhuru na amani.

Mikakati mingine aliyoipa kipaumbele ni kuhakikisha halmashauri inabuni vyanzo vipya vya mapato kwa kuweka sera nzuri za kuvutia wawekezaji. Ametolea mfano wa kuwashawishi wawekezaji wa vituo vya kuuza  mafuta ''Halmashauri itapata service levy kubwa kwa wafanyabiashara wa mafuta kuliko kung'ang'ania ushuru wa wajasiliamali wadogo''


Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Wachimbaji Wadogo Watakiwa Kuijua Sheria ya Madini na Kanuni Zake

    June 22, 2025
  • Wajasiriamali Kupata Mikopo Ikungi

    June 20, 2025
  • Watendaji wa Vijiji Wanaoshindwa Kutimiza Wajibu Wao Waonywa

    June 18, 2025
  • Hoja 19 Kufungwa Ifikapo Tarehe 19 Juni Mwaka Huu

    June 17, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa