• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

DED Msigala azungumza na Watendaji wa Kata na Vijiji Ikungi

Posted on: July 3rd, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi, Ndg. Kastori Msigala, amekutana na watendaji wa kata na vijiji kwa lengo la kufahamiana nao na kuweka mikakati ya pamoja ya utendaji kazi.

Akizungumza katika kikao hicho, Ndg. Msigala amesema kuwa tangu alipoteuliwa Januari 2025, hajaweza kukutana rasmi na watendaji hao, hivyo kikao hicho kilikuwa fursa ya kufahamiana na kubadilishana mawazo juu ya namna bora ya kutekeleza majukumu.

"Watendaji wa kata na vijiji mnapaswa kunipatia taarifa zote za maeneo yenu ya kazi, ikiwemo changamoto zinazowakabili ninyi pamoja na wananchi ili hatua za haraka zichukuliwe katika kuzitatua," ameeleza Ndg. Msigala.

Akiweka bayana mfumo wake wa kazi, Msigala amesema utakuwa  akikaa ofisini kwa ajili ya kushughulikia taarifa mbalimbali kutoka kwa wakuu wa idara na vitengo, pamoja na kusaini nyaraka muhimu, sambamba na kutoka nje ya ofisi kwa ziara za ukaguzi wa miradi ya maendeleo na ukusanyaji wa mapato.

"Ninataka mnijue ninahitaji nini, sitaki uongo wala visingizio, ninataka vitendo,fanyeni kazi kwa weledi kuhakikisha mnatatua kero za wananchi katika maeneo yenu," amesisitiza.


Aidha, Mkurugenzi Msigala amekemea vikali tabia ya baadhi ya watendaji kuingia mikataba isiyo halali, akibainisha kuwa mikataba yote ya halmashauri ni lazima iandaliwe na mwanasheria wa halmashauri na kusainiwa na Mkurugenzi Mtendaji pamoja na Mwenyekiti wa Halmashauri.

Kwa lengo la kuongeza hari ya ukusanyaji mapato, amesema Halmashauri imepanga kutoa motisha kwa watendaji wa kata na vijiji mpaka asilimia 10 ya mapato waliyokusanya , ili waweze kufidia gharama  mbalimbali za ukusanyaji mapato kama vile posho za kuwalipa migambo wanaokaa magetini, nauli, na gharama nyingine zinazojitokeza.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • DED Msigala azungumza na Watendaji wa Kata na Vijiji Ikungi

    July 03, 2025
  • Wachimbaji Wadogo Watakiwa Kuijua Sheria ya Madini na Kanuni Zake

    June 22, 2025
  • Wajasiriamali Kupata Mikopo Ikungi

    June 20, 2025
  • Watendaji wa Vijiji Wanaoshindwa Kutimiza Wajibu Wao Waonywa

    June 18, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa