• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Elimu dhidi ya maambukizi ya Virus vya UKIMWI bado haitoshi

Posted on: October 23rd, 2023

Kamati ya kudhibiti ukimwi halmashauri ya wilaya ya Ikungi imekaa leo 23 octoba 2023 katika kikao cha kawaida na kujadili shughuli zilizotekelezwa katika robo ya kwanza julai mpaka septemba .Katika kikao hicho Mwenyekiti wa kamati ya kudhibiti Ukimwi Mhe Mtyana S. Petro amesema kuwa katika vikao hivyo uko kwenye kata waheshimiwa Madiwani washirikishwe ili kuhamasisha jamii zaidi na kupata uelewa juu ya elimu ya kudhibiti Ukimwi .Pia katika kikao hicho Katibu wa kamati ya kudhibiti Ukimwi Ndg Peter Nchembi ameongeza kwa kusema kuwa elimu hii ya kudhibiti Ukimwi ni endelevu na tunazidi kuitoa kwa jamii kwa kupita kila kata na kuhakikisha kila mtu inamfikia ili kupungua kiwango kikubwa cha maambukizi .Pia Mratibu wa kuthibiti Ukimwi Ndg Yesaya Mawazo amesema kuwa kwa sasa maambukizi kwa robo ya kwanza julai -septemba ni asilimia 1.5 ambapo wanaume 15,877 wamepima na waliopata maambukizi VVU ni 117 na wanawake 9011 wamepima na waliopatikana na maambukizi ya VVU ni 128.Pia ameongeza kwa kusema kuwa elimu imezidi kutolewa kwa jamii kwa kutoa ushauri nasaha, upimaji na tiba na umuhimu wa upimaji wa VVU pamoja na matumizi sahihi ya Kondomu kwa waliokutwa na maambukizi ya VVU kwa robo ya kwanza .Pia amesisitiza kuwa wakati wa kutoa elimu kwa jamii tuwe na usiri na upendo kwa waathirika pamoja na kuwa mabalozi kwa ngazi ya famila ili kubadili tabia za watoto wetu.Mwisho Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe Aliy J Mwanga amesema kuwa jukumu ili la kuelimisha jamii ni letu sote haswa sehemu za ibada na mikusanyiko ya watu.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa