• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

EQUIP-T yafadhili miradi ya Tsh 145,200,000 -Ikungi.

Posted on: December 11th, 2018

EQUIP- T  Ni Mpango wa kuboresha  elimu unaofadhiliwa na  na serikali ya Uingereza kupitia ofisi ya Rais TAMISEMI. Kupitia mpango huo,

 Halmashauri ya wilaya ya Ikungi imeweza kupata ufadhili huo kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa vyumba vya madarasa na ofisi za waalimu. 

Miradi ya  EQUIP-T iliyopata fedha ya mwaka 2018/2019 ni shule shikizi ya Kaugeri, shule shikizi Mwale na  na umalizaji wa boma wa shule ya msingi darajani zote zikiwa ni jumlaya Tsh 145,200,000

Mraratibu wa EQUIP-T Wilaya ya Ikungi ndugu Imani Maketa ametaja fedha zilitolewa na matumizi yake kwa shule husika.

Shule shikizi ya  Kaugeri  iliyopo tarafa ya Mwaru   ambayo imepatiwa Tsh milioni 60 kwa ajili ya ujenzi wa  vyumba 2 vya madarasa, Ofisi moja ya waalimu na matundu 6 vya vyoo. 

Aliyasema hayo leo alipokuwa akizungumza na kamati ya ujenzi ya shule ya msingi Kaugeri.

 Pia Shule ya msingi Mwale iliyopo tarafa ya  Iglansoni nayo imepatiwa Kiasi cha tsh milioni 60

kwa ajili ya ujenzi wa  vyumba 2 vya madarasa, ofisi moja ya waalimu na matundu 6 vya vyoo.

 aliendelea kusema  Shule ya msingi Mwale iliyopo tarafa  ya Mkiwa  imepatiwa shilingi  25,200,000 kwa ajili ya  ukarabati  wa Madarsa mawili na ofisi ya waalimu.

Naye Afisa Elimu msingi Wilaya ya Ikungi ndugu Gidion Kitoboli aliisisitiza kamati ya ujenzi yan shule ya Kaugeri Kufanya kazi ya kamati kwa ueledi na kujituma. pia amesisitiza pindi fundi atakayeshinda zabuni kupatiakana, 

Kamati inunue vifaa na kuanza kazi mara moja.

" Pesa ipo tayari kwenye akaunti za shule husika hivyo basi naitaka kamati itakapompata fundi inunue vifaa vyote vinavyohitajika na ujenzi uanze mara moja"

Kamati ya ujenzi wa shule ya msingi kaugeri wakisililiza  maelekezo toka kwa afisa elimu ndugu GIDIONI  pamoja na timu yake ya Halmashauri

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa