• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Ethiopia yajifunza kuhusu uzalishaji pamba ikungi

Posted on: August 29th, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ndg Justice Kijazi apokea wageni kutoka Ethiopia Wizara ya Kilimo kujifunza kuhusu kilimo hai cha pamba wilayani Ikungi.


Akizungumza nao ofisini kwake leo Tarehe 28 Agosti,2023 kabla ya kutembelea vijiji wanavyolima pamba Wilayani hapa Mkurugenzi amesema kuwa Kilimo cha pamba ni kilimo kinachokuja kwa kasi Wilaya ya Ikungi hii ni kutokana na ubora wa ardhi kwa ajili ya kilimo hicho.


"Hivyo naamini mtajifunza na kushirikiana nasi pale itakapohitajika ili tuweze kujifunza pia kutoka kwenu" Alisema Kijazi


Kwa upande wake Katibu Tawala wa Wilaya ya Ikungi Rashid Rashid amewapongeza kwanza kuichagua Ikungi kama eneo lao la kujifunza na hatimaye kushirikiana mara baada ya kujifunza kutoka Ikungi.


Afisa Kilimo Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ndg Gurisha Msemo amesema kuwa Kilimo cha Pamba kinafanyika katika kata mbalimbali kama vile Makilawa,Minyughe,Kikio,Misughaa,Makiungu,Siuyu,Mng'onyi,Mwaru,Iglansoni,Mtunduru,pamoja na Ighombwe ambapo pamba hiyo inazalishwa na kupelekwa kiwandani kwa ajili ya kuchakatwa.


Ndg Msemo ameongeza na kusema kuwa wakulima wote wamepata mafunzo ya uzalishaji na hatua zote hadi kufikia mavuno wanatumia njia za asili mfano uwekaji wa mbolea,dawa za kudhibiti wadudu waharibifu na dawa za kuhifadhi Pamba hiyo.


"Hivyo nawakaribisha wote wanaotamani kujifunza Kilimo Hai Wilayani kwetu hatimaye kukuza sekta ya Kilimo Nchini"Amezunguza Afisa Kilimo


Aidha Afisa Kilimo ameipongeza Bodi ya Pamba kwa ushirikiano wanaouonesha Hali inayopelekea uzalishaji kuongezeka mwaka hadi mwaka ambapo kwa msimu wa 2022/23 uzalishaji ulikuwa Kilogramu 564,774 lakini kwa msimu huu ni 973,567 na msimu wa manunuzi bado uko nusu sasa.


Pia aliendelea kuishukuru Kampuni ya Biosustain Tanzania Limited ambayo ndio Kampuni kuu inayosaidia uzalishaji na ununuzi kwa kuwa mstari wa mbele katika zoezi la kuongeza uzalishaji na kutoa bei nzuri kwa wakulima na kwa wakati.


Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa