• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

HEWA YA UKAA INA MANUFAA SANA

Posted on: August 14th, 2023

Madiwani Pamoja na wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Mkoa wa Singida wafanya ziara katika Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika Mkoa wa Katavi ili kupata mafunzo kuhusu Hewa ya ukaa na namna ya kuongeza mapato ya Halmashauri kupitia utunzaji wa misitu.Mafunzo hayo yameanza leo Tarehe 14 Agosti,2023 katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika yakifatiwa na kutembelea misitu hiyo hapo kesho na kujifunza namna wananchi na uongozi wa vijiji  pamoja na Halmashauri wanavyoshirikiana katika utunzaji wa Misiti hiyo.Aidha Wilaya ya Ikugi imedhamiria kuanzisha kampeni ya upandaji miti pamoja na kuboresha mazingira yake kwa ujumla,Dhamira hii imetokana na matakwa ya sheria ya Taifa ya misitu namba 14 ya mwaka 2002 inayosistiza kuhusu jamii zinazoishi karibu na hifadhi za misitu, kumiliki, kusimamia na kunufaika na utumiaji endelevu wa rasilimali za misitu kutoka ndani ya hifadhi hizo. Sheria inaruhusu jamii kugawana faida zinazotokana na usimamizi wa pamoja wa misitu inayomilikiwa na serikali kuu. Pia sheria ya misitu na. 14 ya mwaka 2002 inatoa mamlaka kwa serikali ya kijiji (kupitia kamati ya kijiji iliyoteuliwa) kuanzisha hifadhi ya misitu kwenye ardhi ya kijiji na kutoa vibali vya kuvuna mazao ya misitu kutoka kwenye hifadhi za misitu ya kijiji kwa ajili ya matumizi ya nyumbani au kibiashara ( kifungu 49 (6). Mkuu wa Msafara Bi Haika Massawe akimuwakilisha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ndg Justice Kijazi amesema kuwa lengo la ziara hii ya mafunzo wilayani Tanganyika ni kujifunza namna wenzetu walivyofanikiwa kusimamia na kutunza mazingira (misitu) kwa kuangalia namna uhifadhi wa mazingira (upandaji wa misitu) unavyofanyika, usimamizi wake na uvunaji wa rasilimali zake, faida zilizopatikana kutokana na misitu (uhifadhi wa mazigira) pamoja na  mahusiano ya kisera, kisheria na miongozo na shughuli za uhifadhi zinazofanywa na Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika. "Mwisho ni kujifunza changamoto ambazo Halmashauri imepata kupitia shughuli za uhifadhi na utatuzi wake kama upo."amesema Bi Haika Masawe.MWISHOAfisa Habari Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi 14/08/2023

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Wachimbaji Wadogo Watakiwa Kuijua Sheria ya Madini na Kanuni Zake

    June 22, 2025
  • Wajasiriamali Kupata Mikopo Ikungi

    June 20, 2025
  • Watendaji wa Vijiji Wanaoshindwa Kutimiza Wajibu Wao Waonywa

    June 18, 2025
  • Hoja 19 Kufungwa Ifikapo Tarehe 19 Juni Mwaka Huu

    June 17, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa