• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Hoja 19 Kufungwa Ifikapo Tarehe 19 Juni Mwaka Huu

Posted on: June 17th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mheshimiwa Halima Dendego akiongozana na Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida Dkt Fatuma Mganga ameagiza kufungwa kwa hoja 19 zilizoibuliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) katika Wilaya ya Ikungi ifikapo Julai mwaka huu.

Akizungumza leo Juni 17, 2025 katika kikao maalum cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi cha kujadili majibu ya hoja zilizoibuliwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) amesema kuwa adhima ya Mkoa wa Singida ni kupunguza kwa kiasi kikubwa hoja za ukaguzi na hatimaye kuzimaliza kabisa ili kutengeneza sifa nzuri na mfano wa kuigwa kwa mikoa mingine.


Hata hivyo ameipongeza Wilaya ya Ikungi kwa kutokuwa na hati chafu kwa miaka 10 ya fedha mfululizo kuanzia mwaka wa fedha 2013/2014 hadi kufikia mwaka wa fedha 2023/2024 na yote yaliyoagizwa yaendelee kutekelezwa ili ifikapo tarehe 15 Julai 2025 kusiwe na hoja.

“Nikupongeze sana Mkurugezni Mtendaji Ndg. Kastori Msigala kwa juhudi zako kwani tangu umekuja nayaona mabadiliko mkubwa hasa upande wa mapato namba zinabadilika” alipongeza Dendego

Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mheshimiwa Thomas Apson amesema kuwa kuna uwezekano mkubwa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi kukusanya bilioni saba kutokana na mikakati iliyopo ya kuziba mianya ya upotevu wa mapato.

“Tulikuwa tukifanya vizuri zaidi kwenye upande wa uvuvi na kwasasa tunaahidi kufanya vizuri pia kwenye upande wa ukusanyaji wa mapata kupitia mazao” amezungumza Apson

Akifunga baraza hilo Mheshimiwa Ally J. Mwanga amesema kuwa kwa kushirikiana kwa karibu na Halmashauri watahakikisha hoja 19 zilizosalia ziweze kufungwa pia amesisitiza kutokuzalishwa kwa hoja zisizo za msingi ili kuondoa sifa mbaya kwa Halmashauri.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Ziara ya Ukaguzi wa Miradi Siku 10 Kabla ya Mwenge, RC Dendego Apongeza

    July 12, 2025
  • Ripoti ya Utafiti wa Msitu wa Minyughe Yatolewa, Matarajio Mema Ikungi

    July 10, 2025
  • Elimu Itolewe Mfumo wa Stakabadhi Ghalani

    July 09, 2025
  • Kampeni ya Kitaifa ya Chanjo ya Mifugo Yazinduliwa Rasmi

    July 08, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa