• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

HUDUMA YA M-MAMA INAHITAJI USIRI MKUBWA

Posted on: August 9th, 2023

Mwenyekiti wa Halmashsuri ya Wilaya ya Ikungi Mhe. Ally J. Mwanga awaomba madereva wa Huduma ya Usafiri kwa mama wajawazito, wenye Uchungu, waliojifungua pamoja na watoto wachanga M-MAMA kuzingatia mafunzo watakayopewa ikiwemo swala la usiri katika kazi zao.Hayo yamesemwa leo Tarehe 09 Agosti 2023 katika ufunguzi wa mafunzo maalumu kwa madereva hao  ukumbi wa Halmashsuri ya Wilaya ya Ikungi ambapo Mwenyekiti amesema mafunzo yanayotolewa ni mahususi kwa ajili ya kumjenga dereva awe na uwezo wa kukabiliana na shughuli hiyo ya usafirishaji nyakati zote wanapohitajika."Tofauti na Madaktari huwa wanakula kiapo kutunza siri nyie ni madereva mnaokwenda kutoa msaada kwenye jamii zetu tuwe wasiri sana"alisema Mhe.Mwanga.Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Bi-Haika Massawe ameongeza na kusema kuwa Halmashsuri itatoa ushirikiano kwa madereva na amewaomba viongozi wa Afya kuwapa ushirikiano madereva hao pia ili huduma hiyo iwe msaada kwa Jamii.M-mama mfumo wa usafirishaji wa dharura ulioboreshwa kwa Mama wajawazito,walioko kwenye uchungu,na waliojifungua hadi siku 42 pamoja na watoto wachanga.Mganga Mkuu Wilaya ya Ikungi amesema kuwa lengo la huduma hii ni kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na vifo vya watoto wachanga.Huduma hii inatumia magari ya kusafirishia wagonjwa (Ambulance) pamoja na magari ya madereva ngazi ya jamii ambao leo hii wanapatiwa mafunzo maalumu na kusaini hati ya makubaliano na Halmashauri kama usafiri wa dharura kutoa huduma hiyo.MWISHOAfisa HabariHalmashauri ya Wilaya ya Ikungi09/08/2023

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa