• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Idara ya maendeleo ya jamii halmashauri ya wilaya ya Ikungi yatoa mafunzo kwa wanawake.

Posted on: October 24th, 2024

Idara ya maendeleo ya jamii halmashauri ya wilaya ya Ikungi yatoa mafunzo kwa wanawake kata ya Mungaa pamoja na Minyughe ili kuwajenge uwezo wanawake juu ya maswala ya uongozi na haki ya umiliki wa mali kupitia mradi wa WILA.

Mradi wa WILA ni mradi unaofadhiliwa na shirika lisilo la kiserikali la UNWOMEN ambalo linafanya mradi huo katika wilaya tatu mkoani singida na katika wilaya ya Ikungi mradi huo unafanyika katika kata mbili ambazo ni Mungaa Pamoja na Minyughe.

Hayo yamefanyika hii leo tarehe 24, octoba 2024 katika ukumbi wa mikutano ofisi ya mkuu wa mkoa wa Singida ambapo wanawake zaidi ya 70 wamepata mafunzo hayo ambayo yanalengo la kumuwezesha mwanamke kiuchumi na kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili hasa kutoa maamuzi kwenye uongozi pamoja na haki ya kumiliki mali.


Hata hivyo mafunzo yameambatana na maelekezo ya namna ya kuomba mkopo wa asilimia kumi za halmashauri ambao moja ya walengwa ni pamoja na wanawake,vijana na watu wenye ulemavu ambapo afisa maendeleo halmashauri Ndg. Peter Nchimbi akishirikiana na Mariam Mwandikile amesema mambo muhimu ambayo walengwa wanapaswa kuwa nayo ni pamoja na kuunda vikundi na kupata maelekezo juu ya kujisajili kwenye mfumo, kitambulisho cha nida au namba ya nid, kutengeneza katiba na mambo mengine ambayo amesema walengwa watapatiwa elimu kabla ya kuchukua mkopo huo.


"Mkufunzi amefundisha kuhusu sifa za uongozi, aina za viongozi faida za ushiriki wa wanawake katika uongozi ambapo amesema kuwa katika ya ibara ya 12 ya katiba inasema kuwa binadamu wote ni sawa na huzaliwa huru hivyo wote tupo sawa katika kila jambo hasa kwa upande wa mwanamke na uongozi hivyo ni lazima kuzingatia hayo” amezungumza Mariam Mwandikile

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa