• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha

KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA MIRADI WILAYA IKUNGI-SINGIDA

Posted on: March 20th, 2023


Kamati ya Bunge Tawala za Mikoa na serikali za mitaa yaridhishwa na utendaji kazi wa viongozi wa wilaya ya Ikungi na kuwapongeza kwa kuisadia serikali kukamilisha baadhi ya miundombinu iliyopelea baada ya fedha zilizobaki kurudishwa hazina ili hospitali iendelee kutumika...


Hayo yamesemwa leo Tarehe 19 Machi 2023 na Mwenyekiti wa kamati ya Bunge Mhe Denis Londobaada ya kamati hiyo kutembelea majengo mbalimbali ya hospitali hiyo na kuridhishwa na ujenzi huo "kwa niaba ya kamati niwapongeze viongozi wa Ikungi na haya ndiyo maamuzi ya kiuongozi,fedha kweli zilikuja na maelekezo ila nyie mkajiongeza kwa kukamilisha majengo muhimu ili huduma zianze kutolewa nawapongeza sana" Alisema Mwenyekiti wa kamati ya Bunge


Aidha kamati ya Bunge imeagiza fedha zilizorudishwa Hazina ziletwe ili kukamilisha ujenzi unaoendelea katika hospitali hii."sisi kama kamati tunaongezea uzito wa maagizo ya Waziri Mkuu Kassim Majali pamoja na Katibu Mkuu wa CCM Mhe Daniel Chongolo walipotembelea hospitali hii hivi karibuni,Fedha zilizorudishwa Hazina ziletwe haraka kukamilisha Hospitali hii.Amezungumza Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge.


Kwa upande wake mkuu wa mkoa wa Singida Mhe Peter Serukamba ameiambia kamati ya Bunge kuwa Wilaya ya Ikungi ni miongoni mwa wilaya 6 Katika mkoa huu na ndiyo inayoongoza katika ukamilishaji wa miradi mapema kama Serikali inavyoagiza."sina mashaka na utendaji kazi wa Mkurugenzi pamoja na Mkuu wa wilaya fedha zikiletwa Majengo yote yatakamilika kwa wakati.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWA WATANZANIA WOTE WENYE SIFA ZA KUOMBA KAZI April 19, 2023
  • MPYA!MPYA! Kuitwa kwenye usaili wa kazi ya Sensa na watu na Makazi July 17, 2022
  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWA WATANZANIA WOTE WENYE SIFA ZA KUOMBA KAZI May 25, 2022
  • TAARIFA MUHIMU KUTOKA OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU (NBS) KUHUSU MAANDALIZI YA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 July 29, 2022
  • View All

Habari mpya

  • ZIARA YA DC IKUNGI YAZAA MATUNDA:VYOO VYAZINDULIWA RASMI

    April 05, 2023
  • WAKULIMA WASHAURIWA KULIMA KWA TIJA-GURISHA MSEMO

    March 22, 2023
  • KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA MIRADI WILAYA IKUNGI-SINGIDA

    March 20, 2023
  • Shule bora yatoa mafunzo UWAWA

    February 27, 2023
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa