• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha

KAMATI YA FEDHA NA MAENDELEO YAKAGUA MIRADI YA SWASH ZAHANATI 3 WILAYA YA IKUNGI.

Posted on: January 23rd, 2023

Kamati ya Fedha halmashauri ya Wilaya ya Ikungi yatembelea miradi ya SWASH katika zahanati tatu 3 zilizopo Kijiji cha Nkuhi,Dungunyi pamoja na Matyuku na kubaini miradi hiyo kwa asilimia kubwa imekamilika.


Akizungumza katika ukaguzi huo Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Mhe Aliy J.Mwanga amesema kuwa ujenzi umekalika Nkuhi kwa asilimia 96 Dungunyi asilimia 100 na Matyuku ni asilimia 100 ila mfumo wa maji unahitaji marekebisho madogo na kutoa maagizo kuwa vyoo vilivyokamilika vianze kutumika mara moja ili kuepukana na adha wanazopata wagonjwa kipindi wapo katika kupata matibabu kwenye zahanati hizo...


Mhe Mwanga ameongeza na kusema kuwa miundo mbinu ambayo inatolewa ni muhimu itunzwe na kuthaminiwa ili iweze kudumu kwa kipindi kirefu...


Aidha repoti ya mradi huo wa SWASH unaonyesha Zaidi ya 23,90,000/= zimetumika Zahanati ya Nkui kujenga vyoo,Dungunyi 20,000,000/=

na Matyuku ni Shilingi 25,000,000/= ambapo imesaidia kukamiliza matundu ya vyoo na mfumo wake wa maji.


MWISHO

________________________________


Afisa Habari

Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

24/01/2023

Matangazo

  • MPYA!MPYA! Kuitwa kwenye usaili wa kazi ya Sensa na watu na Makazi July 17, 2022
  • TAARIFA MUHIMU KUTOKA OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU (NBS) KUHUSU MAANDALIZI YA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2022 July 29, 2022
  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWA WATANZANIA WOTE WENYE SIFA ZA KUOMBA KAZI May 25, 2022
  • View All

Habari mpya

  • KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA MIRADI WILAYA IKUNGI-SINGIDA

    March 20, 2023
  • Shule bora yatoa mafunzo UWAWA

    February 27, 2023
  • MKURUGENZI AKATA KIU YA WANANCHI KATA YA UTAHO-IKUNGI

    March 07, 2023
  • KARIBINI WOTE KIWILAYA INAFANYIKA IRISYA

    March 07, 2023
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa