• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Kapolesya Afungua Mafunzo ya Siku 5 Ikungi

Posted on: February 12th, 2024

Afisa elimu msingi na awali Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Bi Margaret Kapolesya afungua  mafunzo ya siku tano kuwawezesha walimu wa darasa la kwanza kutumia mbinu stahiki za ufundishaji na ujifunzaji wa unahiri wa Kiingereza na KKK kwa kuzingatia mtaala ulioboreshwa mwaka 2023.

Akizungumza na walimu kabla ya kufungua mafunzo hayo leo tarehe 12 mwezi Februari 2023 amesema baada ya mafunzo haya walimu walioshiriki watahitajika kwenda kufanya uwezeshaji katika jumuiya za kujifunza (JzK) ili walimu wengine waweze kuongeza umahiri katika ufundishaji wa lugha ya Kiingereza, Kusoma, Kuandika na Kuhesabu kwa kutumia mbinu jumuishi.

"Mabadiliko makubwa yamefanyika katika mitaala mipya ili kufanikisha utekelezaji wa ufundishaji na ujifunzaji wa umahiri wa Kiingereza, kusoma, kuandika na kuhesabu, na (TET) imeandaa mafunzo endelevu kwa walimu kazini kuhusu utekelezaji wa mitaala ili kuboresha ufundishaji na ujifunzaji hivyo tuwape ushirikiano wakutosha wawezeshaji ili tuweze kuwa msaada Kwa watoto wetu", amezungumza Kapolesya

Morice Mkhotya ni Mratibu wa mafunzo kutoka wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia amesema kuwa mafunzo haya yatawafikia walimu 639 wanaofundisha darasa la kwanza katika shule zote za msingi zilizopo mkoani Singida kuanzia tarehe 12/02/2024 hadi 16/02/2024 mwaka 2024.

Mratibu huyo ameongeza na kusema kuwa maeneo yatakayowezeshwa katika mafunzo hayo ni pamoja na kufanya tathmini ya ufundishaji na ujifunzaji kulingana na mtaala ulioboreshwa 2023, ufundishaji wa matamshi ya sauti za herufi za Kiswahili na Kiingereza LAT, kona za ujifunzaji, uboreshaji na utekelezaji wa mchakato wa maandalizi ya ufundishaji na ujifunzaji, TEHAMA na Teknolojia saidizi,ushairi na unasihi, uhuishaji wa mpangokazi wa utekelekezaji wa mafunzo katika JzK na mengine yanayomjenga kwa haraka mtoto.

"Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) imekamilisha kazi ya kuandaa mitaala na mihtasari ya masomo yote kwa Elimu msingi, Sekondari ya Juu na Ualimu hivyo ni jukumu letu kwenda na kasi ya mtaala mpya kuwasaidia wanafunzi kufikia ndoto zao",amesema mratibu wa mafunzo hayo.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa