• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Kikao cha Baraza la wafanyakazi

Posted on: September 18th, 2018

Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi Ndg. Justice L. Kijazi ameendesha Kikao hicho leo tarehe 18/09/2018 kilichofanyika katika Ukumbi wa Sekondari ya Ikungi. Kikao hicho kimehudhuriwa na wawakilishi wa vyama vya wafanyakazi, viongozi wa kamati tendaji ya Baraza na wajumbe mbalimbali wakiwemo wakuu wa idara na vitengo. Kikao hicho kimejadili stahiki za wafanyakazi, nidhamu na uadilifu katika utendaji kazi. Halmashauri imeweza kulipa madeni ya watumishi Jumla ya Tsh. 106,619,300 zikiwemo fedha za kujikimu kwa watumishi wanaoanza kazi. 

"Tutajitahidi kama si kumaliza basi kupunguza madeni ya watumishi kwa kadri tutakavyoweza na hatutaweza kumhamisha mtumishi yeyote kabla ya fedha kutengwa kwa ajili ya kumlipa mtumishi anayehama." Alisema Kijazi

Aidha wajumbe wameipongeza Halmashauri kwa kupandisha watumishi madaraja kwa mwaka wa fedha 2015/2016 kwa asilimia 99. Pia wajumbe wameomba Halmashauri iwapandishe madaraja watumishi wanaotakiwa kupanda madaraja mara kibali cha kupandisha kitakapotelewa kwani kilisitishwa ili kupisha uhakiki wa vyeti vya Taaluma vya wafanyakazi.

"Tunaomba walimu wenye ulemavu wapewe vitendea kazi na kuangaliwa kwa jicho la karibu" Alisema mjumbe wa wawakilishi wa walimu wenye ulemavu. Mwenyekiti alipokea maombi hayo na kuahidi kuwa ofisi yake itabeba hitaji hilo na kulifanyia kazi haraka iwezekanavyo ikiwemo kununua karatasi maalumu za kuandalia masomo kwa walimu  wenye ulemavu na kuahidi kuwa ofisi yake itatenga siku maalumu na kuwatembelea walimu wenye ulemavu ili kujua changamoto zinazowakabili.

"Hatutawavumilia viongozi wenye tabia ya kuwanyanyasa watumishi walio chini yao na itakapobainika hatua kali zitachukuliwa dhidi ya viongozi wenye tabia hiyo". Alisema Mwenyekiti kwa hisia kali.

Vile vile alisisitiza kuwa viongozi wakasimamie nidhamu  na uwajibikaji kazini na kuwaasa kuachana na mambo yatakayowaingiza kwenye migogoro


Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Msigala Aagiza kutungwa kwa Sheria Ndogo Kudhibiti chumvi

    May 09, 2025
  • Ikungi Kinara wa Miradi Bora

    May 08, 2025
  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa