• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Kikio walia na Ukatili wa KIjinsia

Posted on: November 22nd, 2023

Katika ziara ya Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe. Thomas Apson, juzi tarehe 22 Novemba 2023, kata ya Misughaa na kata ya Kikio amewataka wananchi kutunza misitu ili kuingiza kipato kupitia hewa ya ukaa na hatimaye kukuza maendeleo katika wilaya ya Ikungi.Mhe. Apson ametembelea madaraja ya kijiji cha Msule yanayojengwa na TARURA, zahanati ya Msule iliyojengwa kwa nguvu za wananchi na kumaliziwa na serikali kwa shilingi milioni 50.  Mkuu wa Wilaya huyo pia alitembelea shule za msingi za vijiji vya Msule na Sakaa kuona upungufu wa majengo ya madarasa, nyumba za walimu na upungufu wa vyoo vya shule hizo kabla hajaongea na wananchi na kusikiliza kero zao katika kijiji cha Sakaa.Kero kubwa ambazo zimezungumzwa na wananchi hao ni pamoja na maji, nishati ya umeme, uhaba wa nyumba za watumishi katika idara zote ndani ya kata ya Misughaa.Wakati akijibu maswali ya Wananchi amesema kuwa amepokea kuwepo kwa tatizo la maji katika kata ya Misughaa na atalipeleka kwa Wakala wa Maji Vijijini (RUWASA) kwa ajili ya ukamilishaji wa mradi huo unaoendelea kwani upo katika hatua za umaliziaji.Mhe. Apson pia ametembelea kata ya Kikio na kukagua ujenzi wa Nyumba mbili za walimu. Katika nyumba hizo moja iko katika hatua za ukamilishaji ambayo inagharimu takribani Milioni 29 na jengo la pili linajengwa kwa nguvu za wananchi na ujenzi wake upo katika hatua ya usawa wa madirisha.Mara baada ya ukaguzi huo alizungumza na wananchi wa kata ya Kikio, kijiji cha Mnane ambapo kero kubwa zaidi zilizobainika ni kuwepo kwa unyanyasaji wa kijinsia, ukosefu wa mbegu za mazao mbalimbali kama alizeti na mahindi;  mbolea, ukosefu wa maji na kadhalika.MWISHOImetolewa na;Afisa Habari Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi24 November 2023

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa