• Malalamiko |
    • wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
Ikungi District Council
Ikungi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi ya Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • Elimu Sekondari
      • Elimu msingi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Ujenzi
      • Mazingira
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • Tekolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Ugavi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Biashara
    • Madini
    • Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Utawala
      • Elimu, Afya na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi iliyoidhinishwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbailmbali
    • Fomu Malimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Vituo vya habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya Video
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya picha
  • Takwimu za Wilaya
    • Sensa 2022
      • Matokeo ngazi ya Taifa na Mkoa
      • Matokeo ngazi ya wilaya na kata
      • Matokeo ngazi ya vijiji
      • Kasi ya ongezeko la watu
      • Idadi ya kaya
      • Idadi ya watu kwa umri
      • Matokeo ngazi ya tarafa
    • Takwimu za Elimu
      • Orodha ya Shule kwa kata
      • Idadi ya wanafunzi
        • Msingi
        • Sekondari
    • Nyanja ya Afya
      • Idadi ya vituo vya afya kwa kata
      • Afya nyinginezo
    • Ikungi yetu
    • Takwimu za miradi

Kilele cha Upandaji Miti Wilaya ya Ikungi 2024

Posted on: February 15th, 2024

Katibu Tawala wa Wilaya ya Ikungi Ndg Rashid M.Rashid aongozo zoezi la upandaji miti katika shule ya Msingi Kipumbwiko akishirikiana na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ndg. Justice Kijazi kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe. Thomas Apson Akisoma taarifa hiyo  Bwana Legan Elfoni Afisa Misitu wilaya ya Ikungi amesema kuwa wilaya ya Ikungi inatarajia kupanda jumla ya miche 1,500,000 katika maeneo mbalimbali ambapo mpaka kufikia tarehe 14/02/2024  jumla ya miche ya miti 127,571 imesambazwa na kupandwa katika maeneo mbalimbali ya wilaya ya Ikungi na zoezi la usambazaji wa miche linaendelea Ameongeza na kusema kuwa miche ya miti iliyosambazwa na kupandwa ni pamoja na miti ya matunda, mbao, na kivuli na leo katika zoezi hili miche ipatayo 1,000 katika maeneo ya umma, taasisi pamoja na maeneo ya watu binafsi itapandwa."tunapenda kukushukuru tena Mhe Mgeni Rasmi viongozi na wananchi wote mliofika katika maadhimisho haya ya kilele cha  upandaji miti  kwa msimu wa mwaka 2024 hivyo ni jukumu letu kwa ujumla kusimamia na kuitunza miti iliyopandwa kwa faida ya kizazi cha sasa na kijacho"amesema Afisa Misitu.Kwa upande wake mgeni Rasmi katika zoezi hilo amesema mwamko wa upandaji miti katika wilaya yetu unazidi kuimarika mwaka hadi mwaka kutokana na wananchi kupata elimu ya kuhifadhi mazingira kwa njia ya kupanda miti ya aina mbalimbali kwa lengo la kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi yanayosababishwa na uharibifu wa mazingira."Nitoe rai kwa viongozi wote tuzidi kutoa elimu kwa wananchi na wanafunzi juu ya umuhimu wa upandaji miti na uhifadhi wa mazingira kwa mustakabali wa maisha yetu kwani miti ni uhai",amezunguza DASAidha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Ndg Justice Kijazi ametoa shukrani za dhati na kulipongeza Shirika lisilo la Kiserikali la Trees For The Future kwa mchango wao mkubwa walioutoa katika kufanikisha zoezi zima la kuandaa kitalu cha miche katika kijiji cha Mungaa ambapo sehemu kubwa ya miche inayopandwa msimu huu inatokana na kitalu hicho.

Matangazo

  • MPYA! MPYA! MPYA! TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI SEPT 06, 2023 August 31, 2023
  • View All

Habari mpya

  • Elimu ya Kujikinga na Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI yahitajika Ikungi

    April 17, 2025
  • Kamati ya Siasa Yapongeza Ujenzi wa Miradi Ikungi

    April 09, 2025
  • "Wanaume Hudumieni Wake Zenu" DC Apson Ikungi

    March 04, 2025
  • NEST yarahisisha manunuzi

    March 04, 2025
  • View All

Video

DC Muro atembelea Kata ya Mkiwa na kukagua ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya sekondari Mkiwa. Kazi inaendelea...
More Videos

Viunganishi vya haraka

Tovuti unganifu

  • EGA website
  • public service management
  • TAMISEMI website
  • Watumishi Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

wasiliana nasi

    Ofisi ya Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi

    Anuani ya Posta: S.L.P 42, Singida, Tanzania

    Simu ya mezani: +255262964037/6

    Mobile:

    Barua pepe: ded.ikungidc@singida.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki @2017 Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi. Haki zote zimehifadhiwa